Saturday, April 27, 2013

FASHION;ONE OF THE HOTTEST TRENDS IN 2013;SHORT SUITS!!!







                                EVA LONGORIA..,
                             JADA PINKETT SMITH.,
 


                               BEYONCE..,

A MUST WATCH;Why I Hate School But Love Education||Spoken Word


Friday, April 26, 2013

KAULI YA MKE WA MBUNGE GODBLESS LEMA SASA HIVI KUHUSU LEMA KUSHIKILIWA POLISI


.
.
Taarifa za sasa kutoka Arusha ni kwamba Mbunge wa Arusha mjini Godbless Lema anaendelea kushikiliwa na jeshi la polisi Arusha na kuhojiwa kwa tuhuma za uchochezi wa vurugu za Wanafunzi wa chuo cha Uhasibu dhidi ya Mkuu wa Mkoa Arusha juzi.
Taarifa za uhakika kutoka kwa mke wa Mh. Lema sasa hivi ni kwamba Polisi wamekataa kutoa dhamana yake na kusema mpaka jumatatu ndio itajulikana.
Namkariri Mke wa Lema akiongea na TheTZA millardayo.com akisema “jana usiku saa sita kasoro watu walikuja kugonga nyumbani kwetu tukamtuma kijana aende kutazama ni kina nani, aliporudi akasema ni Polisi.. sisi hatukuamini na tulikataa kwa sababu hatukujua kama ni Polisi kweli au ni watu wanataka kuitumia hiyo nafasi kufanya uhalifu, mimi nimeshinda Polisi kutwa nikifatilia gari mbona chochote hakikutokea?”
.
Picha ya liblary
“Baada ya muda kusogea ikabidi Lema aanze kuwapigia marafiki, jamaa na baadhi ya viongozi wa Chadema, kabla ya hapo pia tuliamua kupiga kengele ya kampuni ya security ambao muda mfupi baadae walikuja na gari yao huku Polisi wakiendelea na vitisho kwamba watapiga mabomu na kuvunja ukuta la sivyo Lema ajisalimishe, Viongozi wa Chadema na marafiki walipowasili wakamshauri Lema ndio akajitokeza wakati huo ni saa tisa usiku” – Mama Lema

“Alipojitokeza Polisi walimchukua na mimi nikaondoka nao, tulipofika kituoni walimtaka Lema kutoa maelezo lakini alikataa na kusema mpaka mwanasheria wake aje hivyo akapelekwa rumande, asubuhi tulipoamka na kuanza kufatilia.. R.C.O alisema yuko kwenye kikao na haongei na yeyote isipokua Mwanasheria wa Lema, walipomaliza kikao saa nane maelezo yakaanza kutolewa huku Mwanasheria akiwepo na kazi ikamalizika jioni saa 11 ambapo Polisi wamekataa kutoa dhamana mpaka Jumatatu” – Mama Lema
“shitaka kubwa lililo mbele yake ni uchochezi na kauli ambayo anadaiwa Lema kuitoa mbele ya Wanachuo cha Uhasibu kwamba dhambi kubwa kuliko zote ni uoga, na hata leo kwenye maelezo Lema amewaambia watu wa Arusha mjini hivyohivyo, kwamba dhambi kubwa kuliko zote ni uoga” – Mama Lema
Kwa kumalizia, Mke wa Mbunge Lema amesema “gari letu lililokua linashikiliwa na Polisi tumerudishiwa baada ya kutakiwa kulipia elfu 50 ya wale waliolivuta, gari liko zima kabisa………… toka nimeolewa na Lema nimeshuhudia akienda polisi zaidi ya mara 20, mara yake ya kwanza kushuhudia anapelekwa polisi ni wakati wa kampeni za Ubunge”

ALIYEFUKUZWA DUBAI KWA SABABU YA UHANDSOME ULOPITILIZA HUYU HAPA!!

 

 
Huyu ni Omar Borkan Al Gala, mwigizaji na pia mpiga picha wa huko Dubai ambaye kwa mujibu wa taarifa, yeye pamoja na wenzake wawili wamefukuzwa huko Saudi Arabia kutokana na kuwa na muonekano mzuri kupitiliza 
(Yaani ma-handsome kupita kiasi) ili kuepusha kuwaingiza katika tamaa wanawake ambao hushindwa kujizuia kuwashobokea.

BREAKING NEWS: GODBLESS LEMA AKAMATWA....POLISI WAVUNJA MLANGO NA KUMTIA PINGU


Baada ya mabishano ya muda mrefu nyumbani kwa kada huyu na Mbunge wa Arusha mjini na uvamizi wa Polisi wakati wa usiku  wa manane, Mh. Lema alikubali kukamatwa na kuchukuliwa na gari la polisi usiku na kupelekwa kituo kikuu cha polisi Arusha yaani Central Polisi.
Kukamatwa  kwake  kulikuja  baada  ya polisi  kuvunja mlango na kuingia ndani  na  kuendesha  msako  wa  nguvu  humo  ndani .Vitu  kama laptop, ipad, simu vipo mikononi mwa police.
 
Wananchi wengi walijitokeza ku-support mbunge wao na huenda Asubuhi wananchi wakawa wengi zaidi.


Safari ya Lema  kuelekea  polisi  ilisindikizwa na msululu wa magari ya makada waliojitokeza kumsupport kuelekea kituo cha polisi.

Baada ya kumfikisha Lema Central police Arusha alisachiwa na kuingizwa ndani.  Lema alikuwa ameambatana na magari ya wafuasi wa Chadema waliomsindikiza ili kushuhudia kinachojili hapo kituoni.

Baada ya  kumtupa  ndani,polisi waliwafukuza wafuasi  hao wa Chadema  hapo kituoni na kuwaambia hawatakiwi kuonekana hapo...
.......

 MH. LEMA AMEKAMATWA KUFUATIA KILE KINACHOTAJWA NA MKUU WA MKOA WA ARUSHA KUWA YEYE NDO CHANZO CHA VURUGA NA KUZOMEWA KWAE NA WANAFUNZI ALIPOFIKA CHUO CHA UHASIBU NJIRO BAADA YA TUKIO LA KINA MMOJA ALIYEUAWA KWA KUCHOMWA KISU

SIKILIZA MBUNGE WA ARUSHA Mh. LEMA AKISOMA MESSAGE ALIYO TUMIWA NA MKUU WA MKOA WA ARUSHA BAADA YA JANA KUFANIKIWA KUWATOROKA ASKARI....!!


Thursday, April 25, 2013

NEW JOINT: JANA NA LEO -- YOUNG KILLER FEAT STAMINA NA QUICK RACKA

h

BLUE IVY SEEN IN PUBLIC WITH HER DAD n' MOM(JAY-Z&BEYONCE) IN PARIS FRANCE

                                                           Blue 'Ivy' with Dad & Mom
                              
                                                                    Dad's Love
                              
                                                                                           Cuteee
                            
                              
                                 
                                                                        @%$#*&(&
                                    
           Jay-Z,Beyonce&Blue Ivy were spotted in one of the Famous Restaurant in Paris having Lunch with their babygirl "Blue Ivy" Been one of the few moments seen on Public with their Girl.

Gwyneth Paltrow NAMED 'WORLDS MOST BEAUTIFULL WOMAN' of 2013 SEE ALSO THE TOP 10 LIST


American magazine People have named Gwyneth Paltrow this year's 'World's Most Beautiful Woman'.

 
However, the 40-year-old actress insists she's just an ordinary mum to her two children Moses and Apple. "Around the house, I'm in jeans and a t-shirt. I don't really wear make up," she says.

Also featuring in the list are: Amanda Seyfried; Halle Berry; Kelly Rowland; Pink; Kelly Rowland. The top ten is notable for being entirely American.
Take a look at some of the other women voted 'most beautiful'.
Top Ten World's Most Beautiful Woman (as voted by People magazine):
 
 1:Gwyneth Paltrow
         
      2. Kerry Washington
3. Amanda Seyfried
4. Zooey Deschanel
5. Jane Fonda
6. Jennifer Lawrence
    
7. Kelly Rowland with NO make up
     
8. Halle Berry
9. Drew Barrymore
    
10. Pink

Rihanna Wows Fans And Breaks Billboard Record

The Barbados-born singer posted a picture on Instagtram showing major side b00b as she posed unclad with her skin looking like she had just recently gotten a tan. This picture was taken while she was preparing to go on stage in Atlanta during her Diamonds World tour.
Also, there’s some major good news for ‘Riri’ as she is popularly called. She has broken the record for the most Pop Song No. 1s on the Billboard chart.  Billboard news reported that Rihanna is the first artist in the 20-year history of Billboard’s Nielson BDS- based pop songs radio airplay chart as “Stay” featuring Mikky Ekko rises 2-1 to become her 10th chart-topping hit.
Other No.1 songs are:
We found Love (featuring Calvin Harris) in 2011, S&M in 2011, Only Girl in the World in 2010 amongst others.

PHOTOS:AquaNyaeriessa PacoRabanne & Josh's BirthdAY......a bLAST

 
Here they come Birthday Boy&Girl
 
Josh n'AquaNyaeriessa
 
Josh dat pose...wea u wokin?
 
The Dress & the shoes <3
 
Simply Amazing
 They call it chocolate sponge cake
 
 HaPpY BirThdAY
  
MGuu PanDEE
  
Mguu saaWa
 
Pendeza wewe
  
Lukin Guwd together

The Event @  JB Belamonte_Ambassadors Lounge.
Photos by:AquaNyaeriessa PacoRabanne
*Wishin u Long live*

IS RIHANNA PREGNANT......??? CHECK OUT THIS.....!!!!

 
Is Rihanna Pregnant???

We couldn’t help but think about Rihanna’s ‘unknown medical illness’ as a disguise to buy more time if she is indeed preggers!

We sure hope not tho….with her rock star partyin’ lifestyle, her baby would definitely be a little ri ri…but seriously now that her and Chris Brown are back together its a definite possibility.

The pop star was seen coming out of the infamous medical building on Bedford Dr. in Bev Hills Today … and said she’s doing a lot better, but that still doesn’t rule out the possibility of her being pregnant. Rihanna has CANCELLED 4 concert dates on her Diamonds World Tour thus far which started March 8. Sources connected to the singer told us Rihanna’s suffering from a mild case of Laryngitis…but come on its been more than a month now and there are clearly still issues. But we don’t believe ‘em! what do you think?

YALIYOJIRI ZAIDI CHUO CHA UHASIBU ARUSHA + GODBLESS LEMA KUHUSISHWA NA MAUAJI YA MWANAFUNZI HUYO


MKUU wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo ameamuru polisi kumkamata Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema pamoja na wanafunzi walioshiriki kurusha mawe baada ya kutokea vurugu zilizotokana na kifo cha mwanafunzi wa mwaka wa pili, Chuo cha Uhasibu Arusha, Henry Kago (22).
Naibu Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha, Faraji Kasidi jana alitangaza kufunga chuo hicho kwa muda usiojulikana kutokana na vurugu zilizotokea chuoni hapo, ikiwemo ukiukwaji wa nidhamu na urushwaji wa mawe uliofanywa na wanafunzi hao kwa Mkuu wa Mkoa na kamati ya ulinzi na usalama.
Mulongo alitoa amri hiyo baada ya Lema kudaiwa kuingia chuoni hapo jana asubuhi na kufanya siasa bila kufuata utaratibu.
“Si jambo jema kwa Mbunge kuingia chuoni na kuhamasisha siasa kwenye jambo hilo la kifo badala ya kuwatuliza wanafunzi ili tujue kiini cha tatizo hili," alisema mkuu wa mkoa na kushutumu kwamba jambo hilo linabadilika badala ya msiba linawekwa chuki za siasa na wanafunzi nao kuingia kwenye mkumbo.
Kwa mujibu wa mkuu wa mkoa, upo utata wa kifo cha Kago kutokana na wengine kudai ameuliwa na bodaboda eneo la Esami na Kanisa la Waadventista Wasabato karibu na chuo huku wengine wakidai alitoka eneo la Bugaluu.
Alisema polisi inachunguza utata wa kifo hicho cha mwanafunzi huyo aliyekutwa na simu yake ya mkononi.
"Naagiza polisi kumkamata Lema popote alipo na wanafunzi wengine pamoja na wakili wake,” alisema Mkuu wa Mkoa bila kutaja jina la wakili. 
Baada ya kushawisha wanafunzi hao waandamane au mkuu wa mkoa aje ndani ya nusu saa,Mkuu 
huyo wa mkoa alifika chuoni hapo nakutaka kuzungumza nao ndipo wanafunzi hao walipoleta vurugukwa madai amewadharau na vurugu hizo kutulizwa na FFU na Mheshima GODBLESS LEMA kukimbilia pasipo julikana na kutelekeza gari lake,Nakuchukuliwa na BREAKDOWN kama linavyoonekana pichani kupelekwa kituo cha polisi

FULL LIST OF THE KILI 2013 MUSIC AWARDS NOMINEES,ARUSHA IKIWAKILISHWA NA WEUSI +JAMBO SQUAD

Tatianna akimoderate shughuli nzima







Bwana Angelo Luhala kutoka BASATA akisoma list ya Nominees.