Friday, June 21, 2013

Washindi Wa 2013 NBA Championship Ndio Hawa.



 
The Miami Heat have done it again.Yes ni game 7 Chini ya King Lebron James, Miami Heat imeondoka na Points 95 Kwa 88 za San Antonio Spurs. Lebron ametoka na Point 37. Wade nae ametoka na point 23, rebounds 10 , Shane Battier ana points 18. Mpaka sasa Lebron ni Mshindi wa NBA Mara mbili na MVP Mara Mbili.

The Spurs wameongozwa na Tim Duncan akiwa na points 24, rebounds 12 na Kawhi Leonard ametoka na point 19 na rebounds 16 , Manu Ginobili ametoka na points 18.

PICHA BIG SEAN and his Girlfriend NAYA RIVERA


PICHA ZA BINADAMU ALIYEAMUA KUJIGEUZA KUWA MBWA....Hizi ndo PICHA za UPASUAJI WAKE.










Thursday, June 20, 2013

MWANAFUNZI APIGWA RISASI TUMBONI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM USIKU WA KUAMKIA LEO

Taarifa zilizotufikia zinaeleza kuwa wanafunzi wanne wa chuo kikuu cha Dar es salaam wamevamiwa na majambazi usiku wa kuamkia leo maeneo ya Yombo chuoni hapo.
 
Wanafunzi hao wanaosemekana kuwa ni wa mwaka wa nne na wa mwisho wa masomo walikuwa wanajisomea na kuandaa “Disertation” zao na kujikuta wakivamiwa na watu wanne na kuamuriwa watoe kompyuta zao na pochi za fedha. 
Kwa mujibu wa chanzo cha habari hii kutoka chuoni hapo, wanafunzi hao walikubali kuwapa kompyuta hizo na pochi za fedha,  na majambazi kuanza safari yao ya kuondoka bila kuwadhuru.

Baadaye wanafunzi hao wakawaomba wapate hata nakala (Soft Copy) ya vitu vyao, na ndipo mmoja wao akaamua kuwafuata na kukumbana na risasi tumboni. Mwanafunzi huyo baada ya kupigwa risasi alianguka chini na kugaagaa huku akikosa msaada wa kupelekwa Hospitalini.

Chanzo kimeendelea kusema kuwa wanafunzi wa Chuo hicho waliwasiliana na uongozi ili kupata gari ili wamkimbize mwenzao Hospitalini, lakini ilipita takribani nusu saa bila kupata majibu na ndipo walipoamua kujikusanya na kuamua kuwafuata viongozi.
 Kwa sasa mwanafunzi huyo amekimbizwa Hospitalini kupata matibabu zaidi na mpaka sasa hakuna taarifa yoyote iliyotoka....
Source:Mpekuzi

NEW VIDEO:P-SQUARE--PERSONALLY

New Video : Snura – Majanga

NEW MUSIC: Aslay ft. Linah – Bado Mdogo

HIZI NDIO BAADHI YA PICHA ZA MAZISHI YA WAHANGA WA MLIPUKO WA BOMU HUKO ARUSHA...!!


Picha za Mazishi ya mwenyekiti wa BAWACHA kata ya Sokoni I Judith William Moshi, aliye fariki kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya Soweto jijini Arusha siku ya kufunga kampeni za chaguzi ndogo tarehe 15.06.2013..



Click image for larger version.   Name: 3.jpg  Views: 0  Size: 71.2 KB  ID: 98626

NEW MUSIC : Prezzo – Celebration Of Life

NEW AUDIO: STOPA THE RHYMECCA FEAT. JOH MAKINI - "NIMESHAVURUGWA"

Tuesday, June 18, 2013

PICHA ZAIDI YALIYOJIRI ARUSHA LEO....Soma yaliyojiri HAPA.

 
 Baadhi ya Viongozi Wa CHADEMA waliohudhuria Katika Viwanja vya SOWETO

Polisi Wakilinda eneo hilo kabla ya Vurugu.
 

d

Matairi yalivyochoma Barabarani na jinsi zilivyofungwa.

Jeshi la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za kuaga miili ya marehemu kwenye viwanja vya Soweto kwani zoezi la uchunguzi bado linaendelea kwenye viwanja hivyo .

Akizungumza ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema kutokana na uchunguzi unaoendelea wa tukio la bomu kwenye viwanja hivyo imeonelea kuwa si busara kuweka mkusanyiko wa watu kwani kutaharibu upelelezi.


Kamanda Sabas amedai  kuwa  jeshi la polisi  liliwataka viongozi wa chama hicho kuwaeleza wafuasi wao mahali sahihi watakapoweza kufanyia shughuli hiyo lakini si kwenye viwanja hivyo.

Hali kwenye viwanja hivyo imekuwa ya pilika pilika tangu juzi kwa wafuasi wa chama hicho kujikusanya tokea asubuhi hadi jioni kwa madai ya kuomboleza ..

Hata hivyo viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo walikaidi agizo hilo na  kuanza  kujikusanya uwanjani hapo pamoja na wafuasi wa CHADEMA , hali iliyoleta  mvutano kati ya viongozi  wa jeshi la polisi na  wafuasi hao.

Wakati mabishano hayo yakiendelea, Askari Polisi mmoja  alijichanganya na kuingia katikati ya wafuasi wa Chadema pembeni mwa uwanja huo ambao walikua wanasubiri kujua utaratibu wa kuaga miili ya Marehemu waliolipuliwa na bomu June 15 2013.

Baada ya hapo,Wafuasi hao hawakupenda kitendo cha Polisi kujichanganya nao hivyo ikazuka ugomvi huku wakitaka atoke, baada ya dakika kadhaa  mabumu yalianza kusikika.

Baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho waliokuwepo uwanjani hapo ni Tundu lissu, Halima Mdee,Mustapha Akonay Pamoja na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.
 

ANGALIA INTERVIEW:AY awa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na wa 3 Afrika kuhojiwa kwenye Focus Africa ya BBC

ANGALIA INTERVIEW:AY awa msanii wa kwanza Afrika Mashariki na wa 3 Afrika kuhojiwa kwenye Focus Africa ya BBC

Monday, June 17, 2013

NEW ALBUMS:Kanye West "YeezuS" Vs J-Cole "Born Sinner"


                                              J-Cole "Borne Sinner" Vs Kanye West "YeezuS"

NEW VIDEO:Feza Kessy - Amani Ya Moyo (Official Music Video)

VIDEO TEASER:My Baby--Quick Racka Ft Shaa & MaGwair(Official Teaser)

PICHA:Yaliyojiri Katika Viwanja Vya Soweto Arusha.....Soma Alichosema Mhe.Mbowe Kuhusiana na Bomu.


Mhe. Freeman Mbowe Akiongea na waombolezaji Leo jioni katika viwanja vya Soweto,Aliwahasa watu kuwa muhusika aliyerusha Bomu hilo wanamfahamu na hawakuwa tayari kumtaja leo pale,na kusihii kuwasubiri wanasheria wakubwa wa Chama kwanza pia alisisitiza kumtaja Muhusika aliyehusika na tukio hilo la kurusha bomu katika mkutano wa kufunga kampeni za udiwani katika majimbo 5 arusha na kusababisha vifo vya watu watatu mpaka hii leo na wengine 70 kujeruhiwa vibaya kabla ya wao kuondoka Arusha.
Pia alimalizia kwa kuwaambia watu wote waliohudhuria kutawanyika na kurejea Manyumbani kwao kwa Amani na Kurejea Kesho Saa 3 Asubuhi kwa ajili ya misa ya kuwaaga wote waliopoteza maisha katika milipuko huo Uwanjani Hapo. 

 Wafuasi wa CHADEMA Wakisikilza kwa umakini wakati Mhe. Mbowe akizungumza.

Hizi ni Picha za Baadhi ya Wafuasi wa Chadema waliofika Uwanjani hapo.

PICHA:MSANII WA HIP HOP LANGA AKIAGWA NA KUZIKWA LEO

Watu walioudhuhuria nyumbani alipokuwa akiishi marehemu Langa kwa ajili ya kumuaga msanii huyo wa Hip Hop Langa aliyefariki Alhamisi iliyopita 13/6/2013 katika hospitali ya taifa ya Muhimbili Dar es salaam.

Sunday, June 16, 2013

NEW VIDEO:Various Artist--GOODBYE(An Official Tribute To LANGA) #R.I.P

 
Artists : Various Artists
Track : Goodye
Prod. : Christon/NK productios
Filmed, Edited & Directed By Jerry Mushala A tribute music video I did for my late friend Langa. Featured Varios Artists. I did finish the music video for a total of 16 hours. ( 4 hours of shooting plus 12 consecutive hours of editing...) 


New Video:Navy Kenzo - Hold me back Official Video


Kauli ya Polisi kuhusu bomu kwenye mkutano wa CHADEMA, Arusha.

Picture

FATHERS DAY SPECIAL:History, 2013 Father's Day Gift Guide: Something Special for Every Dad

 
 Father's Day is a celebration honoring fathers and celebrating fatherhood, paternal bonds, and the influence of fathers in society. Many countries celebrate it on the third Sunday of June, but it is also celebrated widely on other days. Father's Day was created to complement Mother's Day, a celebration that honors mothers and motherhood.                       

GIFT GUIDE;
Father's Day Gift Guide 
HISTORY;



Father's Day was inaugurated in the United States in the early 20th century to complement Mother's Day in celebrating fatherhood and male parenting.
After the success obtained by Anna Jarvis with the promotion of Mother's Day in the US, some wanted to create similar holidays for other family members, and Father's Day was the choice most likely to succeed. There were other persons in the US who independently thought of "Father's Day", but the credit for the modern holiday is often given to Sonora Dodd,who was the driving force behind its establishment.
Father's Day was founded in Spokane, Washington at the YMCA in 1910 by Sonora Smart Dodd, who was born in Arkansas. Its first celebration was in the Spokane YMCA on June 19, 1910. Her father, the Civil War veteran William Jackson Smart, was a single parent who raised his six children there. After hearing a sermon about Jarvis' Mother's Day in 1909, she told her pastor that fathers should have a similar holiday honoring them.Although she initially suggested June 5, her father's birthday, the pastors did not have enough time to prepare their sermons, and the celebration was deferred to the third Sunday of June.
It did not have much success initially. In the 1920s, Dodd stopped promoting the celebration because she was studying in the Art Institute of Chicago, and it faded into relative obscurity, even in Spokane.In the 1930s Dodd returned to Spokane and started promoting the celebration again, raising awareness at a national level.She had the help of those trade groups that would benefit most from the holiday, for example the manufacturers of ties, tobacco pipes, and any traditional present to fathers.Since 1938 she had the help of the Father's Day Council, founded by the New York Associated Men's Wear Retailers to consolidate and systematize the commercial promotion.Americans resisted the holiday during a few decades, perceiving it as just an attempt by merchants to replicate the commercial success of Mother's Day, and newspapers frequently featured cynical and sarcastic attacks and jokes. But the trade groups did not give up: they kept promoting it and even incorporated the jokes into their adverts, and they eventually succeeded.By the mid 1980s the Father's Council wrote that "(...) [Father's Day] has become a 'Second Christmas' for all the men's gift-oriented industries."
A bill to accord national recognition of the holiday was introduced in Congress in 1913. In 1916, President Woodrow Wilson went to Spokane to speak in a Father's Day celebrationand wanted to make it official, but Congress resisted, fearing that it would become commercialized. US President Calvin Coolidge recommended in 1924 that the day be observed by the nation, but stopped short of issuing a national proclamation.Two earlier attempts to formally recognize the holiday had been defeated by Congress. In 1957, Maine Senator Margaret Chase Smith wrote a proposal accusing Congress of ignoring fathers for 40 years while honoring mothers, thus "[singling] out just one of our two parents".In 1966, President Lyndon B. Johnson issued the first presidential proclamation honoring fathers, designating the third Sunday in June as Father's Day. Six years later, the day was made a permanent national holiday when President Richard Nixon signed it into law in 1972.
In addition to Father's Day, International Men's Day is celebrated in many countries on November 19 for men and boys who are not fathers.
                     

DR. MARY NAGU ANUSURIKA KUCHOMWA MOTO NA WAFUASI WA CHADEMA


WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu pamoja na Mbunge wa Babati Vijijini, Jitu Soni (CCM), wamenusurika kuchomwa moto na wafuasi wa Chadema usiku wa kuamkia jana.

Tukio hilo lilitokea usiku wa manane, baada ya wafuasi wa Chadema, wakiongozwa na Mbunge wa chama hicho Jimbo la Karatu, Mchungaji Israel Natse, kuvamia nyumba waliyokuwa wamefikia Nagu na Soni, katika Kata ya Bashnet, Babati Vijijini, mkoani Manyara.

Wafuasi hao wa Chadema wanawatuhumu Dk. Nagu na Soni kukutana katika nyumba hiyo kwa nia ya kupanga mipango ya kutoa rushwa ili kufanikisha uchaguzi mdogo wa udiwani katika Kata hiyo, unaotarajiwa kufanyika leo, ikiwa ni pamoja na maeneo mbalimbali nchini.

Chanzo cha MTANZANIA Jumapili kilichokuwa eneo la tukio kililidokeza gazeti hili kuwa Dk. Nagu na Soni

walikwenda kijijini hapo usiku, wakiwa na magari mawili, kila mmoja na lake na kufika nyumbani kwa mtu aliyetajwa kwa jina la Petro Baha, kwa kile kilichodaiwa kuwa ulikuwa ni mpango wa kupita na kugawa fedha kwa wananchi usiku huo, ambapo pia inadaiwa ndani ya nyumba hiyo alikuwepo mgombea udiwani wa Kata hiyo, Nicodemus Gwandu (CCM).

Kitendo cha Nagu pamoja na Soni kuonekana katika nyumba hiyo kiliwashitua wafuasi wa Chadema, ambao baada ya muda mfupi walivamia nyumba hiyo wakiwa na Mbunge wao, Natse, madiwani na msafara wa pikipiki na kutishia kuichoma moto.

Mtoa habari wetu huyo alisema kuwa, wafuasi hao wa Chadema waliweka kambi katika nyumba hiyo kuhakikisha Nagu na Soni hawatoki kwenda kwa wananchi usiku huo.

Chanzo chetu kilisema kitendo cha kuzingirwa huku wakitishia nyumba kuchomwa moto kiliwashitua viongozi hao wa CCM na kuamua kupiga simu polisi, ambao walifika wakiwa sita muda mfupi baadaye kwa ajili ya kuimarisha ulinzi hadi walipotoka jana asubuhi.

Inaelezwa kuwa mgombea wa udiwani wa CCM, Nicodemus, ambaye naye alikuwemo ndani ya nyumba hiyo pamoja na akina Nagu, yeye alifanikiwa kutoroka mapema kwa kuruka ukuta na kukimbia.

Alipotafutwa Dk Nagu ili kupata ukweli kuhusu taarifa hizo, simu yake ya kiganjani iliita bila mafanikio na hata alipotumiwa ujumbe mfupi nao hakujibu.

Kwa upande Soni, alikiri kuzingirwa na wafuasi hao wa Chadema, lakini alikanusha madai ya mkakati wa kutoa rushwa.

“Ni wanachama wa Chadema wakiongozwa na Mbunge wa Karatu, Mchungaji Natse na madiwani karibia wa kata sita pamoja na msururu wa pikipiki, sisi tulikuja kulala, mimi siku zote huwa nalala kijijini, sasa walikuja wakaanza kupiga yowe, ndipo wananchi wakatoka. Tulikuwa wanne na magari mawili,” alisema Soni.

Akielezea sababu za kwenda kulala katika nyumba hiyo, Soni alisema walifikia hatua hiyo baada ya kuwapo kwa mpango wa Chadema kufanya fujo.

Alisema dalili hizo zilianza kuonekana mapema baada ya Dk. Nagu kuwekewa mawe kwenye daraja la Kambesh, kitendo ambacho kilimfanya ashindwe kuondoka na kwenda kulala alipoandaliwa Soni.

Akifafanua tuhuma kuwa walikwenda kwa ajili ya kutoa rushwa, Soni alisema kama wafuasi hao wana uhakika wathibitishe madai yao.

“Waje wathibitishe rushwa gani ya kuwapatia watu wanne, maana ndio waliokuwemo katika nyumba hiyo, hata mgombea wanayedai alikuwepo alikuja hapo mara baada ya kusikia yowe, wananchi wamesaidia kuwatawanya,” alisema Soni.

Mbunge wa Chadema, Natse alikiri kuwepo katika eneo hilo, baada ya kupatiwa taarifa kwa njia ya simu na wananchi ambao walimweleza juu ya kuwako kwa mpango wa kutoa rushwa uliokuwa ukiandaliwa na Nagu pamoja na Soni.

“Kilichotokea saa 7 usiku tulipigiwa simu na wananchi kuwa Waziri Nagu na Soni walikuwa eneo la Bashnet, ambalo ndiyo ngome yao ya rushwa na walikwenda kugawa huko, lakini walipoonekana tu yowe lilipigwa na watu walikusanyika wakitoka na silaha, ikiwemo mapanga na mikuki,” alisema.

Natse alisema kuwa baada ya taarifa hizo walikwenda eneo la tukio ili kuepusha madhara zaidi, kutokana na wananchi hao kudhamiria kuchoma moto nyumba walimokuwamo vigogo hao wa CCM.

“Tulipofika tuliwatuliza wananchi, lakini waligoma kuondoka, lakini wao (kina Nagu) walikuwa wameshapiga simu polisi. Askari walipofika eneo la tukio tuliwataka wawatoe nje wahusika, lakini walitusihi tukubali wawalinde mpaka asubuhi asitoke mtu, suala ambalo wananchi waliliafiki, huku wao wenyewe wakiendelea kuwepo eneo la tukio kuhakikisha kuwa hawatoki kwenda kugawa rushwa mpaka majira ya saa 11 nilipoondoka hapo,” alisema Natse.

Uchaguzi huo unaofanyika leo katika kata ya Bashnet, unawashirikisha wagombea watatu ambao ni Nicodemus Gwandu wa CCM, Alois Gwandu wa NCCR Mageuzi na Laurent Tara wa CHADEMA, ambaye kabla ya kuhamia chama hicho alikuwa diwani wa kata hiyo kwa tiketi ya NCCR Mageuz

SOURCE:Mpekuzi

MLIPUKO WA BOMU WASABABISHA UCHAGUZI WA MADIWANI JIJINI ARUSHA USOGEZWE MBELE


Tume ya taifa ya Uchaguzi imesimamisha kufanyika kwa uchaguzi mdogo wa udiwani katika kata nne jijini Arusha. 

Akizungumza kwa njia ya simu na Radio TBC FM,kutoka Zanzibari mwenyekiti huyo wa tume ya uchaguzi alisema kuwa wameamua kusimamisha uchaguzi huo ili kuwapa nafasi vyombo vya usalama kuchunguza swala hilo.

Alisema kuwa sheria inawapa mamlaka kufanya hivyo pale wanapogundua kuwa hakutakua na uhuru wa mpiga kura kwenda kupiga kura.

Source: Radio TBC FM.