Saturday, July 13, 2013

NEW VIDEO:Izzo Bizznes Ft Barnaba & Shaa - LOVE ME

love meIzzo Bizznes Ft Barnaba & Shaa - LOVE ME

FAHAMU:Prezzo vs Diamond Nani Zaidi...????

Prezzo July 7 2013 na Nelly 1
Kama umekua karibu na vichwa vya habari kwa wiki hii kuna uwezekano mkubwa ukawa umekutana na habari mbalimbali zilizoandikwa kuhusu kutoelewana kati ya Diamond Platnums na Prezzo wa Kenya ambapo inadaiwa hii ishu ilianzia magazetini
kuliko mkariri Diamond Platnums kusema angemkalisha Prezzo kwenye show ya Matumaini ambayo ilifanyika July 7 2013 Uwanja wa Taifa.
Gossip Cop Soudy Brown alipofanya mahojiano na Prezzo, staa huyu wa 254 alionyesha kutopendezwa na kauli ambazo Diamond Platnums alizitoa kwamba atamkalisha hata hivyo kwa upande mwingine alielewa kwamba Diamond ameyaongea hayo baada ya show.
Diamond alipoongea na U Heard ya XXL Clouds FM July 12 2013 akasema amekuta missedcalls za Management ya Prezzo na baadae Management hiyo ilitaka wayamalize lakini yeye akasema kama Prezzo ndio alianzisha huu mvutano kupitia Twitter inapaswa kwenda kuumalizia hukohuko kwanza.
Baada ya Diamond kuzungumza hivyo, muda mfupi baadae CMB Prezzo aliandikwa hii tweet hapa chini…
Prezzo July 12 2013 on Beef on ama vpKama ulimis, July 10 2013 Prezzo aliandika kwenye page yake ya twitter na kuonyesha kukasirishwa na alichosema Diamond kuhusu yeye kwenye gazeti na kuambatanisha hiyo tweet na picha.
Prezzo on Diamond Platnums July 10 2013 Prezzo on Diamond Platnums July 10 2013 gazeti lenyewe 
Credits:Millard Ayo

HUYU NDIYE BABU ANAYETAKA KUMFUFUA BABA WA TAIFA MWALIMU NYERERE ILI ASIMAMIE UCHAGUZI MKUU 2015, AZUA GUMZO KUBWA..!!


Mzee (pichani) aliyeibuka hivi karibuni akidai kuwa ana uwezo wa kumfufua Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere amezua gumzo.
 Babu huyo aliibuka katika studio za Kyera FM huko mkoani Mbeya akihitaji msaada wa kumfikisha Butihama alipozikwa Mwalimu Nyerere mwaka 1999 ili amfufue. 


Mzee huyo alikuwa na ufunguo mkononi ambao anadai ndiyo utakaotumika kumfufua Nyerere. Anaeleza kuwa akishamfufua Mwalimu Nyerere ndiye atakayesimamia Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.

Lil Wayne - God Bless Amerika (Video Teaser).....The official music video will premiere Today.

GOOD MUSIC:Alpha Rwirangira Feat. LaMyia Good -HEAVEN- Official video

 alpha
Alpha ambaye ni raia wa Rwanda pia ni mshindi
 wa shindano la Tusker project fame season 3
ndani ya wimbo na video hii amemshilikisha mwanadada
 Lamyia Good ambaye ni mwanamziki wa
 kimataifa kutoka marekani,Lamyia
 alishilikishwa  pia kwenye wimbo wa A.Y uitwao speak with ur body
..Unaweza pia kuitizama hapo chini  video hiyo ya A.Y ft Lamyia &Romeo

Huddah Monroe sasa amuangukia Diamond Platnumz ( soma alichoandika kwa akaunti yake ya instagram)

Huddahbbacover
hudah

PICHA:MTANZANIA ALIYETEMBEA KWA MIGUU KUTOKA MBEYA HADI DAR ES SALAAM

Kijana Wiseman Luvanda(23) akikamilisha safari yake ya kutoka Mbeya hadi Dar es salaam kwa miguu
Kauli mbiu yake "Tanzania nchi yangu,Taifa Stars Timu yangu, Amka wakati wa Uzalendo ni Sasa". Tumefanya nini kuienzi nchi? 



Kijana Wiseman Luvanda(23) akikamilisha safari yake ya kutoka Mbeya hadi Dar es salaam kwa miguu
Kauli mbiu yake "Tanzania nchi yangu,Taifa Stars Timu yangu, Amka wakati wa Uzalendo

Thursday, July 11, 2013

FAHAMU:Kauli Ya POLISI Tanzania kuhusu CHADEMA kuanzisha kikundi cha kujihami

.
.
Ni kauli ya Polisi kutoka Makao Makuu Dar es salaam na imetolewa kutokana na kauli iliyokaririwa kwa Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe..
.
.
. 
Credit:Millad ayo

Nisher ft Nisher - PAPER

NEW VIDEO:Gerry wa Rymes - Lovely

NEW MUSIC:Sajna Ft BenPol & C sir Madini

SAJ BEN SISA

PHOTOS:MUONEKANO MPYA WEMA SEPETU

Picture Picturef

New Music:Miss Karun - Photograph (As solo Artist out of Camp Mulla)

karun-2

PHOTOS:Wiz Khalifa & Amber Rose Wedding.


NEW MUSIC:Steve RnB fyt Mr. Blue - Huyu Demu