Thursday, October 3, 2013

TRENDING VIDEOS:JUX - UZURI WAKO (Official HD Video)

Photos:Gari Mpya aliyopewa BABY MADAHA na Record Label ya Candy n'Candy ya Kenya.

h
h
Mwanamuziki na muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Baby Madaha yuko nchini Kenya na tayari ameshakabidhiwa gari yake mpya aina ya Audi TT aliyopewa na Record Label ya Candy n Candy huko Kenya baada ya kusaini mkataba wa kufanya kazi na kampuni hiyo …

New Video Mchek uyu Rapper wa miaka 11 kwenye Hip Hop scene TZ:Dogo D Ft Young Killer - Nahitaji Maadui

Dogo D Ft Young Killer - Nahitaji Maadui

Photo:Chris Brown Na Drake @The Studio Baada ya beef lao kuisha.

Drake-and-Chris-Brown-studio 



Baaada ya Beef lilodumu kwa muda mrefu sasa kati ya Rapper kutoka Toronto "Drake" na Rn'B Singer Chris Brown kuisha siku chache zilizopita wazidi boresha urafiki wao baada ya wawili hao kuingia Studio pamoja....Chris Brown alipost "Hanging with Drake in the studio".....It's TIME sasa ya Mafans kusubiri mzigo mpya toka kwa Mastar wawili hao.

PHOTOS:ARUSHA jinsi ilivyokuwa in 1960's

The Arusha Hotel in 1950's

Clock Tower

Mc Moody's Restaurant

Friends Corner


NEW VIDEO:Rihanna - Pour it up