Friday, May 3, 2013

MISS ARUSHA CITY CENTER KICKIN OUT TO NIGHT...Don't miss it!!!!!!!


NEW SINGLE:AY ft Fid Q--JIPE SHAVU + LYRICS

LYRICS

Verse 1:
Nachana style zaidi ya kumi bado kiwango same/
Kwenye speaker unamsikia mastermind wa hii game/
Toka BC game,mpaka AC game/
Wanajaribu hata kugeza hawana Edu-Tain/
Nasmile,wanavyoscream M BACK AGAIN/

Chillax,usipanic kwani where have you been/
Bila msoto maisha haya mjomba huwezi gain/
Kanyaga moto acha utoto then life maintain/
Napata moyo navyosikika toka Jozi mpaka Lagos/
Bado mnakuna vichwa level hizi chafu mikosi/
Nimetoka mbali na hii game bado naidai/
Ndio maana sivimbi kichwa na Ufame till I die/
Usiwe bingwa wa kuhonga na home wanalala njaa/
Nyumbani umeacha mboga moja ka komba ulala baa/
Ujanja kuweka heshima nyumbani na is kuweka baa/
Unashangaa?? Stuka huu sio muda wa kuzubaa

Chorus:
Fid Q:

Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Cash?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2
AY:

Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Chase?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

VERSE 2:

(Fid Q)
Jipe shavu.. kabla haujajipa uwe na hizi na kama una hizi sifa hakikisha watu walikupa..
una cash- money.. wewe ni hustler.. fulani../
Ulikuja na DASH kama DAMON ukazi-Chase kama DAMIAN/
jipe shavu ukiwa na ubavu wa u - billionea/
Haters watashow LOVE kwa HI 5 everywhere/
'' C E O wa CHEUSIDAWA TV'' yeah.. iliyoanza kwa flipcam/
ukinikuta club utapagawa.. njoo u-Sip some/
Flow hizi tamu/ zinaleta SNOWS ndani ya DAR ES SALAAM/
na mie ndo BOSS bado haujanifahamu?/
TROUBLESOME..na hizi lyrics sio bubble gum/ Multi- Syllabic acheni ubishi hii sio double rhyme..

Chorus:
Fid Q:
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Cash?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2
 AY:
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Chase?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2


Verse 3:
Beware,usinifuate shika nukuu,fanya mbwembwe huko uliko ila usije njia kuu,
Mdundo mzito wa Q
Michano ya level ya juu
Kazi inaisha kabla ya kuanza mbele ya me and Fid Q,
Ukitaka kunijua jiandae kujilaumu
Bora uhairishe zoezi kubakie tu kunifahamu
Jipe shavu ulikuja mjini mnyonge mzeiya sasa una mabavu,unasurvive,na wengine unawapa shavu
Jina lavuma Afrika nzima nazidi tu kujituma
Nyuma na support nzima Mtwara to Musoma
Dar to Kigoma ,A Town,Moro to Ruvuma
Tanzania nzima so unatamani hata kugoma
Umenisoma?mchaka wa soka ka mchizi Chonka
Chini kwa chini ka Inju bin Unuki mi nasonga
Mkononi Michael Kors na 3 smart phones
Border nazidi cross huniambii we bitozi
Simu nyingi zinazotoka na kuingia ni za biashara
We bwabwaja,scratch yo balls mzembe zidi lala
Ujanja kupeleka faida bank ya ile uliyoinvest
Bora uhairishe kabla hujaniface

Chorus:
Fid Q:
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Cash?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2
AY:
Jipe shavu,kama unajipa una hizi sifa na kama una hizi sifa hakikisha watu walikupa,
Una Chase?Money,we ni Hustler?flani
Unasupport yako familia na uko real x2

Credits:
AY Featuring Fid Q
Jipe Shavu
Produced by Q the Don
Mpo Afrika Studio


Thursday, May 2, 2013

NEW VIDEO:JAMBO SQUAD--TUKUNYEMA

 


                                                           

KUPIGIA KURA JAMBO SQUAD @KILI AWARDS

Kupigia Kura Jambo Squad kama Kundi bora la mwaka tuma CF1 kwenda 15345 au email ktma2013@innovexdc. com au tembelea www.kilitimetz.com
kxs

  

Wednesday, May 1, 2013

PHOTOS:LUCY TOMEKA 21yrs Wins REDD'S MISS DAR INDIAN OCEAN Last Night


Kim K spotted in Paris with baby daddy, Kanye West

Kim K left her family in Greece where they are holidaying to go join her boo in Paris after he sent a private jet to pick her up. They were spotted out and about in Paris today...but they no longer look like a couple in love. No holding hands, no smiling, plus they look tense. And see the way she's looking at him in the last photo. Hmmmm. Hope they find a way to stay together!

Tuesday, April 30, 2013

NEW MUSIC VIDEO | P-UNIT ft. Alicios - MOBIMBA

PHOTOS:Fellas Check out Wiz Khalifa's NEW ClothinG Line "FRESHKO"









NEW VIDEO:Ray J releases video for 'I HIT IT FIRST' featuring Kim K look-alike


HaPpY BiRThDaY To My Big Bro Stewart

Stewart Nyiti

Queen Beatrix of Netherland abdicates; hands crown to first son(Willem Alexander)

75 year old Queen Beatrix of the Netherlands abdicated today April 30th after 33 years as queen and handed over her throne and crown to her eldest son at a ceremony that held on the balcony at the Royal Palace in Amsterdam. 46 year old Willem-Alexander will be the first King of the Netherlands since 1890. The former queen will now be addressed as Princess Beatrix.

Imagine 86 year old Queen Elizabeth of England handing over her crown to Prince Charles! That will be the day! Hehe. See more photos after the cut...



Queen Beatrix signs the act of abdication next to her son Crown Prince Willem-Alexander and his wife Crown Princess Maxima
Queen Beatrix passes the act of abdication to her son Crown Prince Willem-Alexander

Celebs Tweet support for first openly gay NBA player, Jason Collins

Well, not all celebrities and sportsmen. Miami Dolphins wide receiver Mike Wallace (pictured left) wasn't supportive. See what he Tweeted above. Lol. Like many of us, he too doesn't understand same sex attraction. But others showed their support, which is a good thing. See their Tweets after the cut..



Monday, April 29, 2013

NEW VIDEO:May D - So Many Tinz [Official Video]



Relationships:6 Kind Of Women Every Man Should Avoid

Relationships are good. The various Holy books recommend marriage, and most men want to settle down with someone good. However, if you are a woman and unable to find a man who consistently enjoys your company, then there’s a problem. I’ve tried to categorize some character traits commonly found in women which tend to keep the prospective men at bay. If you fall into one or two of these categories, sister, it just might be time to make a change.
Being judgemental and generalizing: A few bad experiences don’t mean all men are the same. It shocks me to hear women say all men are the same. Making such an assertion is not only wrong, it affects your judgement of men and consequently affects how you relate to them. A woman who generalizes is usually quick to read the wrong meanings into men’s actions, and usually reacts irrationally before even considering their actions. No man will stick around too long if he’s always feeling attacked and misunderstood.
Easy catch: I can bet that a man will avoid you if he knows you’ve slept with every available man on your street or a sizeable number of men in your school. No man wants to settle for the chaff when the substance has been lost. However, if he isn’t aware, you may wish to keep the details to yourself and not flaunt it. It makes a man insecure to know that he is dating an ‘easy catch’ and might send him on his merry way sooner than either of you thought.
Fault finder: This type of woman doesn’t see the good in anything or anyone. She hardly ever appreciates anything. She complains about things she can either cope with or change. No man needs a woman breathing down his neck about every single thing, every single time. It’s either the movie is wrong, or the food isn’t nice, or he snores, or…the list is endless. Bottom line, the man will soon go where he’ll be appreciated.
Clinger: Being over-possessive isn’t cute. Learn to give him a break. Men like to have their solo time, hang out with friends and do ‘manly’ things. Your following him around and keeping tabs on him won’t stop him from having an affair if he wants to; you might even be giving him good reasons to do it. Don’t make yourself his clutch bag. The more you insist on tagging along, the more likely it is that you’ll be tagged out.
Prim and Proper: One thing this group fails to realize is that boys will always be boys. When a woman keeps a particular thing at a particular spot and gets upset when it is moved, that is a big issue with men who are often less rigid.
No man wants to be around a woman who sweeps the floor every second or has a particular space for a particular cup or spoon or a particular hanger for a particular dress. Let go; live a little!

7 Signs She Is Interested In You


Here are seven signs she is interested in you;

  1. You catch her staring at you often. Does she steal glances at you now and then? And every time you look at her, does she blush and look away? If a girl can’t stop staring at you, especially when you’re busy or occupied with something else, it’s a good sign to show that she has something romantic in mind when it comes to your thoughts.
  2. She seems to take extra special care of her looks when you’re around. If a girl takes out time to look extra pretty because of you, then it’s very likely that she has feelings for you. If you notice her constantly adjusting her hair or fidgeting with her clothes, then she might be thinking of having you for more than just a friend.
  3.  Her friends seem excited. She seems nervous. One of the easiest ways to find out if a girl likes you is by watching her behaviour when she’s with her friends. Do you see her friends smiling mischievously at her and at each other while she looks shy and uncomfortable? Then it’s very likely she’s into you.
  4. She wants to know your relationship status. If a girl wants to be your girlfriend, she’ll find a way to ask if you’re single or taken. She might do this under the guise of asking about past relationships and try to make it a general conversation but most of the time, a girl who wants to know if you’re available or not is most likely doing it for her own personal reasons.
  5. She makes sure you know that she’s single and available. She might not scream it from the rooftop but she’ll find a way to let you know that she doesn’t have a man in her life.
  6. She always wants to be with you. If a girl likes you, she’ll find a way to always have you around. She might arrange to be somewhere because she knew you’d be there or she’ll find one excuse or the other to hang out with you. She’ll also want to talk to you often either via chatting or phone calls or texts.
  7. She gets jealous when you ignore her. Does this girl get annoyed when you talk a lot to some other girl? Does she pass a funny remark or pull your leg saying you’re attracted to the other girl just because you had a friendly conversation with that girl? She may be jealous on the inside and this may point to the fact that she likes you.
Of course, individually, these factors might not mean a girl likes you but if she’s exhibiting many or even all of these signs, then it’s very likely that she wants you to be her man so go for it!

DIAMOND NA WASAFI NDANI YA THE SPORAH SHOW UK

Leo hii, baada ya kupia show kadhaa ndani ya London, UK, Diamond alipata nafasi ya kufanya mahojiano na kipindi cha TV cha "The Sporah Show"



Diamond akiwa na dancers wake "Wasafi" ndani ya UK

NEW VIDEO : Sean Kingston ft. Chris Brown & Wiz Khalifa - BEAT IT ...

http://api.ning.com/files/Vku3s2wlMTWOON3W5FzSq5Hdm0umwwY1XjtdZDA93vl9n6Eov5nBKu2cPkaFISme5oMT2QpKiJFEFhJEbRSfy8CHRq4jLxZl/wizseanchris.jpg

PHOTOS : JAY-Z Na CHRIS MARTIN Katika Mechi Ya Jana Kati Ya MAN UTD Na ARSENAL Huko London ...

Rapper JAY-Z amekuwa spotted katika BARCLAYS PREMIERE LEAGUE match iliyochezwa jana katika ya timu za MANCHESTER UNITED na ARSENAL ... JAY-Z ameonekana katika uwanja wa EMIRATES katika match hiyo akiwa na rafiki yake wa karibu na lead singer wa kundi la Coldplay, CHRIS MARTIN ... Katika picha hizo, pia anaonekana mtoto wa CHRIS MARTIN, Moses ...

Talk Of The Town:BAADHI YA PICHA LEO MAHAKAMANI KTK KESI YA LEMA NA MABANGO NA YALIYOANDIKWA

 
Kutokana kesi iliyokuwa inamkabili mbunge wa arusha mjini Mh.Godbless Lema Kutupiliwa 
mbali na mahakama kuu mjini Arusha leo,ameachiwa huru na kusababisha maandamano makubwa mjini Arusha yaliyoanzia mahakama kuu mpaka Makao makuu ya CHADEMA Ngarenaro Arusha kushangilia Ushindi wa Mbunge huyo.
Picture 
Mh.Joshua Nassari akiwasili
Picture 
Baadhi Ya Mabango
Picture 


Picture