Saturday, June 1, 2013

PHOTOS @ THE KARIBU 2013 TRAVEL & TOURISM FAIR ARUSHA EXHBITION




Free Wi-fi By raha Broadband you wont get bored


Javiro Safaris One Of The Best Tour Company



Camel Riding



Range Rover 2013 Dammnnnnn


Navy Kenzo were there




Zanzibar Hina Art

Yeeah people enjoying

The wines

KARIBU FAIR MIN-MARTHON 2nd JUNE 2013

Marathon escort Performance By Navy Kenzo
 


RAIS OBAMA KUFUNGA HOTELI YA NYOTA 5 KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM


Wakati Rais wa Marekani, Barrack Obama akitarajiwa

 kuwasili na msafara wa watu 700, baadhi ya hoteli zenye 
hadhi ya nyota tano jijini Dar es Salaam zimeanza 
kusitisha kupokea wageni kutokana na ujio huo.

Taarifa iliyotolewa na Ubalozi wa Marekani ilisema 
Rais huyo, anatarajiwa kuwasili nchini Julai Mosi kwa 
ajili ya ziara ya siku tatu hadi Julai 3 mwaka huu ili 
kuimarisha uhusiano baina ya nchi hiyo pamoja na nchi 
za Afrika. Msafara huo utajumuisha watu mbalimbali 
wakiwamo wafanyabiashara.


Thursday, May 30, 2013

OFFICAL VIDEO:Goldie Ft. Navio - Miliki [Official Video]

Goldie Harvey

NEW MUSIC:Victoria Kimani - Oya ft. Mi



Photos: A List Of The Most Successful Young Celebrities In Nigeria

                                 

Stage name - Wizkid A.K.A Starboy
Real name (Ayodeji Ibrahim Balogun)
Record label - E.M.E/STARBOY ENTERTAINMENT



Stage name - Yung6ix A.K.A The king of the south
Real name (Onome Onokokwomo)
Record label - Storm360/ Kashkamp Emp




Stage name - Davido A.K.A Omo baba olowo
Real name ( David Adedeji Adeleke)
Record label- Hkn Gang



Stage name - Olamide Adedeji A.K.A Baddoo
Real name ( Olamide Adedeji)
Record label - Y.B.N.L




Stage name - Phyno A.K.A The playmaker
Real name ( AZUBUIKE CHIBUZOR NELSON)
Record label - Pent House Records




Stage name - DAMMY KRANE
Real name (Oyindamola Johnson Emmanuel)
Record label - Hypertek

                

Wednesday, May 29, 2013

OPEN LETTER FROM MANGWAIR - MSWAKI FT. UNICE


SHOCKING....Jacqueline Ntuyabaliwe(K Lyin) Tweets:Kumbe Reginald Mengi Is the Father To Her Twins.....Check out


PICHA ZA MWISHO NA INTERVIEW YA HOTMIX @EATV

 


LAST TWEET By Magwair,Gwair,CowWizy,CowObama


HISTORIA YA MAREHEMU NGWAIR ALIYOISEMA MWENYEWE KWENYE INTERVIEW YAKE YA MWISHO;.


JINA LAKE HALISI NI ALBERT KENETH MANGWAIR,NI MTU WA RUVUMA MNGONI...,,,,MNGONI,LAKINI ALIZALIWA MBEYA TAREHE 16 NOVEMBER,MWAKA 1982.YEYE NI MTOTO WA MWISHO KWAO,KWA BABA AKIWA MTOTO WA 10,KWA MAMA AKIWA MTOTO WA 6.

NGWAIR ASILI YAKE NI RUVUMA,YAANI MNGONI, ALIZALIWA MBEYA,A KIWA MIAKA 5 WALIHAMIA MOROGORO AKASOMA SHULE YA MSINGI BUNGO HADI DARASA LA 5,BABA YAKE AKAPATA UHAMISHO AKAHAMIA DODOMA,SO AKAHAMA NA BABA YAKE AKAENDA AKAMALIZA SHULE YA MSINGI MLIMWA DODOMA.BAAADAE MAZENGO SEC,THEN CHUO CHA UFUNDI MAZENGO.

ALICHOKIANDIKA PRODUCER P-FUNK;Sitaki nyimbo za Mangwear alizorikodi BONGO Rec. zisipigwe CLOUDS


Team Anaconda:LADY JAY DEE AMEAHIRISHA SHOW YAKE RASMI

                          
Lady Jay Dee Kupitia EAST AFRICA RADIO  Leo ametangaza kuahirisha show yake ya miaka 13 Rasmi ambayo ilipangwa kufanyika ijumaa hii tar.31 May.

Monday, May 27, 2013

NEW MUSIC BY Gosby---B.M.S(Baby Making Swag) Commin soon...CHECK OUT What he sent me.

 image.jpeg


>>> Baby Making Swag, new song from Gosby. I can say its a good seductive music that just gets you in the mood specially between em sheets. The type of music that can help a man seduce his woman when they are alone (probably a reason why I exist) you know intimate love kind of thing. So basically it's just that kind of music you can make love to, and for my ladies to make them feel comfortable and really sexy... So put it on and y'all get busy!!

PHOTO:TAIFA STARS WITH THEIR NEW SUITS Design By Sheria Ngowi


NEW VIDEO:Nay Wa Mitego Ft Diamond--MUZIKI GANI


AMANDA BYNES TWEET SHITS TO RIHHANA.....CHECK OUT HERE


Sunday, May 26, 2013

NEW MUSIC:GOSBY--B.M.S(NDANI) COMMIN SOOON

mwanzo Habari Kitaifa Kitaifa Waliofeli kidato cha nne waula, ufaulu sasa waongezeka

 

Kwa ufupi
  • Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na 57, huenda yakatangazwa wiki hii pamoja na yale ya kidato cha sita ambayo pia yamechelewa kutangazwa.
Dar es Salaam. Idadi ya watahiniwa waliofaulu mtihani wa kidato cha nne mwaka jana imeongezeka kwa kati ya asilimia 20 na 23 baada ya Baraza la Mitihani la Taifa (Necta), kufanya marekebisho alama za viwango vya ufaulu, Mwananchi limebaini.
Habari ambazo gazeti hili imezipata zinasema matokeo hayo ambayo yamewezesha kiwango cha ufaulu kupanda na kufikia asilimia kati ya 54 na 57, huenda yakatangazwa wiki hii pamoja na yale ya kidato cha sita ambayo pia yamechelewa kutangazwa.
Chanzo cha habari kutoka Necta kimesema matokeo hayo mapya yanaonyesha kuwa, ufaulu wa kuanzia daraja la kwanza hadi la nne umeongezeka kutoka asilimia 34.5 kwa matokeo yaliyotangazwa awali na huenda yakafikia asilimia 57. Hii inamaanisha kwamba watahiniwa wapatao 82,000 ambao awali walikuwa wamepata sifuri katika matokeo ya awali sasa wamepanda na kupata madaraja ya ufaulu katika matokeo mapya.
Kwa matokeo hayo, watahiniwa wa mwaka 2012 watakuwa wamefanya vizuri kuliko wa mwaka 2011, ambao watahiniwa 225,126 sawa na asilimia 53.37 ya 349,390 waliofanya mtihani huo walifaulu.
Msemaji wa Necta, John Nchimbi alisema upangaji wa matokeo hayo ulikuwa bado unaendelea. “Ninachojua kwa sasa ni kuwa mchakato unaendelea na matokeo yatatangazwa mapema tu ili watoto waweze kujiunga na shule mapema,” alisema Nchimbi.
Pia alisema usahihishaji wa mitihani ya kidato cha sita umekamilika.
Matokeo ya awali
Matokeo ya awali yaliyotangazwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa yalionyesha kuwa kati ya watahiniwa 367,756 waliofanya mtihani wa kidato cha nne mwaka jana, waliokuwa wamefaulu kwa daraja la kwanza mpaka la tatu walikuwa 126,847 sawa na asilimia 6.4. Waliopata daraja la nne walikuwa ni 103,327 sawa na asilimia 28.1.
Katika matokeo hayo, watahiniwa 240,909 sawa na asilimia 65.5 walipata sifuri, hesabu ambayo imebadilika katika matokeo mapya ambayo yanaonyesha kuwa sasa waliopata daraja hilo ni 158,100 ambayo ni asilimia 43.
Hata hivyo, habari kutoka Necta zinasema kuwa licha ya kuwezesha kuongezeka kwa waliofaulu, matumizi ya kanuni mpya ya kukokotoa matokeo hayo yalisababisha zaidi ya wanafunzi 2,500 kushuka ufaulu ikilinganishwa na awali.
Maofisa mbalimbali wa Necta pamoja na wale wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi na taasisi zake, walikutana mwishoni mwa wiki iliyopita kukubaliana masuala mbalimbali juu ya matokeo hayo pamoja na suala la matokeo ya wanafunzi hao 2,500 kabla ya kutangazwa wiki hii.
“Baada ya wajumbe kujadili suala lile, busara ilibidi itumike kwa hiyo hakuna mwanafunzi ambaye alama yake itashuka, kwa kawaida isingewezekana mtoto ambaye matokeo yalitoka akiwa amefaulu leo umwambie ameshuka,” kilieleza chanzo chetu.
SOURCE: MWANANCHI COMM.