Thursday, October 3, 2013

Photos:Gari Mpya aliyopewa BABY MADAHA na Record Label ya Candy n'Candy ya Kenya.

h
h
Mwanamuziki na muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Baby Madaha yuko nchini Kenya na tayari ameshakabidhiwa gari yake mpya aina ya Audi TT aliyopewa na Record Label ya Candy n Candy huko Kenya baada ya kusaini mkataba wa kufanya kazi na kampuni hiyo …

No comments:

Post a Comment