Showing posts with label Arusha. Show all posts
Showing posts with label Arusha. Show all posts

Thursday, October 3, 2013

Sunday, September 15, 2013

Happy Birthday To Dogo Janja All The Way From Ngarenaro Arusha.

Yeah Hapy birthday to Dogo Janja anayefikisha miaka 19 leo hii.

Janjaro On Instagram Follow Him @Janjaro



Wednesday, July 24, 2013

NEW VIDEO:Beeman feat wyre - Kizunguzungu|Good Music|All the Way From Arusha


Beeman feat wyre - Kizunguzungu

FiDO & Danger Ranger - Tupo Tulipo (Official Music Video) Another HipHop MUsic From Arusha.


Artist:FiDO & Danger Ranger

Song:Tupo Tulipo

Audio:MAJEMBE RECORDS.

Video:Good Pictures Lab (First Music Video Project)

Please leave up your comments.

PICHA:UKIONA HII DRESS CODE UJUE INAWAKILSHA ARUSHA|Unga Ltd

 


     Hapo Kuanzia Juu ni Boshori,DoggyDoggy+Denim Shirts na Chini Trouser Mnyonyo na                Converse All Star Oversive Wanasemaga haina Gweraaaa

Saturday, July 20, 2013

#PATRICK NGOWI|ENDORSED

 
 All the way from Arusha, Tanzania ,Patrick Ngowi Founder & C.E.O Of Helvetic solar
>>1st Place Winner of Top 100 Mid Sized Companies in Tanzania 2012-2013 
                    >> Forbes under 30 Best African Entrepreneurs 2013
                 >>With Only 28, Forbes list TWICE in 2013 Alone.
     >>Nominated for Young Person of the Year – The Africa Prize - The Nobel Prize for Young Africans-->Read More>>>
 Following its nomination by Tanzania’s leading consulting and auditing firm (KPMG) in 2012 as the fastest growing company in the country, Helvetic Solar and its founder, Patrick Ngowi have from then been featured in a number of national and international media including FORBES, Venture Africa, and most recently, he was invited to speak at the Africa Global Business Forum 2013 that was held in Dubai.
Follow Him On Twitter here-->https://twitter.com/PatrickNgowi



Friday, July 19, 2013

Africa’s Brightest & Best!| List 10 Nominees for The Future Awards Africa Young Person of the Year 2013|Patrick Ngowi All The Way From Arusha on The List.


The-Future-Awards-2013-New-600x406The Central Working Committee (CWC) of The Future Awards Africa has unveiled the list for the biggest youth award on the continent, the Young Person of the Year – The Africa Prize. The Future Awards Africa which has been described by the World Bank as ‘The Nobel Prize for Young Africans’, partners with the African Union (AU) this year.
As is the tradition, the nominees for Young Person of the Year – The Africa Prize, were drawn from a huge pool of talented trailblazers across Africa, who are making tremendous contributions around the globe,” said Dr. Raymonde Agossou, Head, Division for Human Capacity and Youth Development, African Union Commission. “We are extremely proud of our honorees this year. Working with The Future Project to compile this impressive list was refreshing.”
The winner of this award will be announced at the awards ceremony to hold in August 2013, in addition, all the honourees will be given plaques.

Ludwick Marishane – South Africa (22)
The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (1)
South Africa’s youngest patent holder and serial inventor, Ludwick Marishane is the founder of DryBath, the world’s only non-water based germicidal bath substitute lotion for the whole body which has sold 162 units as at 2012. He was rated as the best student entrepreneur in the world (Global Champion of the Global Student Entrepreneurs Awards 2011), one of the 12 winners of Google’s annual Zeitgeist Young Minds Competition, and appeared on Huffington Post and Ted Talks in 2012.
William Kamkwamba – Malawi (25)
The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (5)
A student in the Dartmouth College class of 2014, William Kamkwamba is a Malawian inventor and author who rose to global fame when he built a windmill to power some electrical appliances at their family house back at the age of 14. In 2012, Kamkwamba published his autobiography, an inspirational book, The Boy Who Harnessed the Wind: Creating Currents of Electricity and Hope and a documentary about Kamkwamba, called William and the Windmill, won the Documentary Feature Grand Jury award at SXSW in 2013.
Ashish J. Thakkar – Uganda (32)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (6)
Ashish J. Thakkar is the Managing Director of Mara Group, a conglomerate he founded at the age of 15 which includes IT, real estate, manufacturing companies, and more with operations in 26 countries, spanning four continents, and employing over 7,000 people worldwide.
Saran Kaba Jones – Liberia (31)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (1)
Saran Kaba Jones is a clean water advocate and social entrepreneur who founded FACE Africa to provide safe drinking water and empower women and girls in her home country of Liberia; FACE Africa had raised over $250,000 to this end and Jones was listed by the Guardian UK in 2013 as one of Africa’s 25 Top Women Achievers alongside President Joyce Banda of Malawi and Nobel Laureate Leymah Gbowee.
Moctar Dembele – Burkina Faso (22)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (2)
Moctar Dembélé, one half of the team of African students that invented The Faso Soap, together with his partner, (Gérard Niyondiko, from Burundi), he is the first non-American born/citizen, to win the Global Science Venture Competition (GSVC) organized by the University of California Berkeley, USA for inventing the anti-malaria repellant soap.
Grace Ihejiamaizu – Nigeria (22)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (2)
Named as one of Google’s 12 Brightest Young Minds in 2011, and by the US Government as ‘International Exchange Alumni Member of the Month for September 2012’, Grace Ihejiamaizu is an entrepreneur and global change-maker. In 2010, she founded an after-school youth project, Raising Young Productive Entrepreneurs (RYPE) Initiative; in 2012, she started a Social Enterprise company called iKapture Networks and founded the fast-growing online platform, opportunitydesk.org.
Patrick Ngowi – Tanzania (28)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (3)
Following its nomination by Tanzania’s leading consulting and auditing firm (KPMG) in 2012 as the fastest growing company in the country, Helvetic Solar and its founder, Patrick Ngowi have from then been featured in a number of national and international media including FORBES, Venture Africa, and most recently, he was invited to speak at the Africa Global Business Forum 2013 that was held in Dubai.
Peter Okoye and Paul Okoye (PSQUARE) – Nigera(31)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (4)
This inspiring twin brothers have been tagged one of the very best in African music. Signed to Akon’s Konvict Musik, Psquare signed a record distribution deal with Universal Music Group in 2012, the same year they released their hugely successful remix singles/videos featuring global music giants, Akon “Chop My Money”, and Rick Ross “Beautiful Onyinye Remix”. The duo has just come off a massively successful African tour where they easily filled up stadia in Malawi, South Africa, Uganda, Zimbabwe, Equatorial Guinea, Congo Brazzaville, and more.
Fohlabenchi Lily Haritu – CAMEROON (27)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (7)
A finalist of the 2013 Commonwealth Youth Awards for Excellence in Development Work, Foglabenchi Lily Haritu, is the youngest individual to reach the position of program supervisor in the Cameroon Baptist Convention Health Services. Haritu has demonstrated an outstanding commitment to reproductive and sexual health rights education and rights promotion particularly through her work with stationary and rural mobile clinics across Cameroon.
Kariuki Gathitu – Kenya (27)The Future Awards Young Person of the Year Honourees - BellaNaija - July2013 (1)
Kariuki Gathitu is an entrepreneur, and software developer who in 2010 turned down an offer to work for Google to instead developed a mobile payment management system called MPAYER. MPAYER has been widely acknowledged and received awards for innovation and recently won second position in a global competition held in South Africa called Dragons Den (2013) and was the best application in Africa; it came second in the World’s 50 Top Startups Globally (2013), and in same year was named one of the Top Tech Start ups You Need to Know in Africa by CNN.

FAHAMU:CHADEMA YAJITOA KUWANIA UMEYA WA ARUSHA


Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimeamua kuachana na kuwania umeya wa Jiji na badala yake kimemwomba Meya, Gaudence Lyimo (CCM), atende haki.

Katibu wa Kanda ya Kaskazini wa chama hicho, Amani  Golugwa alisema jana, kwamba Chadema haina uroho wa madaraka kama baadhi ya watu wanavyofikiri, bali inasimamia vipaumbele vya maendeleo.


Hata hivyo, kauli hiyo inapingana na nyingine ya chama hicho ya wiki hii pia, kwamba ushindi katika uchaguzi mdogo wa kata nne, ni chachu katika msimamo wa chama kutaka uchaguzi wa Meya wa Jiji la Arusha, urudiwe.

Mwenyekiti wa Madiwani wa Chadema, Isaya Doita, ndiye aliyenukuliwa wiki hii akisema hayo, akiamini kuwa Meya Lyimo wa CCM, alichaguliwa kimizengwe.

Baada ya Chadema kutetea viti vyake vinne vya udiwani kwenye uchaguzi mdogo wa hivi karibuni, kimefikisha viti 15 kwenye Baraza la Madiwani la Arusha, huku CCM ikibaki na viti 12 na TLP sita.
 

Pia Chadema ina nafasi ya kuongeza kiti, kwani ina nafasi moja ya viti maalumu iliyokuwa inakaliwa na Rehema Mohamed, aliyetimuliwa mwaka 2011.

Hata hivyo, pamoja na Chadema kuongoza kwa kuwa na viti vingi vya udiwani jijini hapa, haina uwezo wa kuweka Meya, bila kushirikiana na CCM au TLP.

Chadema ikikosa ushirikiano huo, ushirikiano wa CCM na TLP, utabaki kuwa na nguvu ya kuweka Meya na naibu wake madarakani, huku Chadema ikibaki kuwa kambi ya upinzani yenye nguvu katika Baraza la Madiwani.

Golugwa alisema Chadema haina uroho wa madaraka, bali inataka uchaguzi wa Meya wa Jiji urudiwe ingawa haitaki nafasi hiyo kwa kuwa si kipaumbele chake.
 

"Tunaangalia wananchi wanafikiwaje na maendeleo tuna imani muda si mrefu Jiji la Arusha litapata Meya ambaye amechaguliwa kwa misingi ya sheria," alisema Golugwa.  
 

"Hatuna shida na Meya wala hatuna uroho wa madaraka tunachopinga ni upatikanaji wa Meya huyo na tunamtaka afanye kazi zake kwa kusimamia misingi ya sheria na si upendeleo, tunahitaji kuona kila mwananchi ananufaika na maendeleo hadi mitaani," aliongeza.

Pia alikaririwa wakati mmoja akisema ushindi huo unaihakikishia Chadema wingi wa wajumbe katika Baraza  la Madiwani, hivyo kuwa na fursa ya kumwondoa Lyimo madarakani.

Sunday, July 14, 2013

FAHAMU: Matokeo ya Uchaguzi katika Kata Nne za Arusha

Uchaguzi uliofanyika leo Jumapili, Julai 14, 2013 wa kuwapata madiwani wa Kata Nne --Themi, Kaloleni, Kimandolu na Elerai-- za mkoani Arusha umemalizika.

Huku Tume ya Uchaguzi ikisubiriwa kuwatangaza rasmi washindi, taarifa za awali zinasema kuwa CHADEMA imepata ushindi kwa kunyakua Kata zote Nne kama ifuatavyo:

KATA YA THEMI: CHADEMA 678; CCM 326; CUF 313

KATA YA KIMANDOLU: CHADEMA 2,665; CCM 1,169

KATA YA KALOLENI: CHADEMA 1,019; CCM 389; CUF 169

KATA YA ELERAI: CHADEMA 1,715; CCM 1,239; CUF 213

Vyama vingine vilivyoshiriki vilikuwa ni TLP, CCK na Demokrasia Makini

PICHA:Uchaguzi Mdogo ARUSHA

FAHAMU:SHEIKH MKUU WA WILAYA YA ARUMERU AMWAGIWA TINDIKALI NA KUUMIZWA VIBAYA


Shekhe Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Said Juma Makamba amejeruhiwa vibaya kwa kumwagiwa maji yanayohisiwa kuwa tindikali na watu wasiojulikana juzi usiku akiwa nyumbani kwake jijini Arusha.

Shekhe Makamba, ambaye amelazwa katika Wodi ya Majeruhi kwenye Hospitali ya Mkoa wa Arusha ya Mount Meru, amejeruhiwa vibaya maeneo ya usoni, kifuani na mgongoni huku akiendelea na matibabu.

Akizungumza kwa tabu, shekhe huyo alisema tukio hilo lilitokea saa 5 usiku wa kuamkia jana nyumbani kwake kwa Mromboo Arusha, wakati akijiandaa kulala baada ya kutoka kuswali Swala ya Tarawei.

Shekhe Makamba ambaye pia ni Imamu wa Msikiti wa Sekei mjini Arusha, alisema baada ya swala hiyo alirejea nyumbani kwake akisindikizwa na vijana wawili ambao walikuwa wakiswali pamoja na kuingia ndani ya nyumba yake ili kulala.

Alisema hata hivyo, kabla ya kulala alikwenda kujisaidia katika choo cha nje na kwamba wakati akirudi ili aingie ndani akipitia nyuma ya nyumba ghafla alimuona mtu akiwa amesimama jirani na mlango.

Alieleza kuwa wakati akitaka kumwangalia zaidi alishtukia mtu
huyo akiinua mkono na kumwagia maji yaliyompatia maumivu makali usoni na kifuani.


‘’Wakati natoka msalani nikipitia uwani kwangu niliona kama mtu ameinama pembeni yangu wakati najaribu kumsogelea ili nijue ni nani nilihamaki mtu huyo akinimwagia maji yaliyonisababisha maumivu makali sana yenye asili ya moto na ngozi kuanza kubabuka,’’ alisema shekhe huyo.

Aliongeza kuwa baada ya tukio hilo alianza kupiga kelele kuomba msaada ambapo majirani walijitokeza na kumpa msaada wa kumpeleka hospitali, kwa vile wakati huo macho yake yalikuwa hayaoni na wakati wote alikuwa  akilia.

Pamoja na kujeruhiwa vibaya sehemu za usoni, kifuani na  mgongoni, pia ana majeraha  kwenye mikono na machoni na hali yake bado ni mbaya japo madaktari wanaendelea kumpatia matibabu.

Kaimu Katibu wa Bakwata Mkoa wa Arusha, Abdallah Masoud akizungumzia tukio hilo alieleza kushitushwa nalo akisema limefanana na lile la Katibu wa Bakwata Mkoa wa Arusha, Abdulaziz Jonjo ambaye mwaka jana alilipuliwa kwa bomu nyumbani kwake akiwa amelala.

Alisema kuwa matukio hayo yamekuwa yakijirudia huku wahusika wakishindwa kutiwa mbaroni na kudai kuwa matukio hayo yanahusiana na masuala ya kigaidi. Aliongeza kuwa pamoja na kutoa taarifa kwa Jeshi la Polisi, lakini wamekuwa hawapati matunda ya kukamatwa kwa watuhumiwa ingawa alisema wanajulikana.

Kwa upande wake,  Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema polisi wameanza uchunguzi wa tukio hilo na kwamba taarifa zitatolewa pindi washukiwa watakapotiwa mbaroni kwani uchunguzi bado unaendelea na kwamba hakuna  mtu anayeshikiliwa hadi sasa.

Friday, June 28, 2013

NEW MUSIC: IBRA DA HUSTLA FT. UDE UDE - SABABU YA WEWE

 ibra-da-ha
Ni ngoma mpya kabisa kutoka kwa Ibra Da Hustler ambae before alikuwa katika kundi la Nako 2 Nako Soldiers ambalo maskani yake kubwa ni jijini Arusha.

“SABABU YA WEWE” ndio jina la ngoma hiyo, ambapo katika wimbo huu, Ibra anaelezea story nzima ya maisha yake, kuanzia kutumia madawa ya kulevya hadi kuacha.

Sikiliza wimbo “SABABU YA WEWE” hapa chini …

NEW MUSIC:JOH MAKINI FT. FUNDI SAMWELI - NIKUMBATIE




Joe Makini ametambulisha wimbo wake mpya leo hii "Nikumbatie" akiwa amemshirikisha producer wa wimbo huo "Fundi Samweli."
"Huu wimbo ni wa mapenzi kwasababu wakati nau-record mwanzoni mwa mwaka jana kabla Fundi hajaondoka nilikuwa katika feelings hizo, na ilikuwa nitoe mda kidogo lakini wakati nataka kuuachia Nikki akawa anatoa wimbo wake, baada ya kutoa ikawa niachie lakini kutokana na msiba wa Ngwea na Langa ikabidi nitulie kwanza na sasa naona ni wakati muafaka wa kuachia"
Joe makini pia alizungumzia habari iliyopo sasa ya Mtayarishaji mkali wa Videos za kibongo "Adam Juma" kutangaza kuacha kutengeneza videos na kuangalia michongo mingine.
"Kweli hii habari sio nzuri kwasasbabu sidhani kama kuna atakae ziba pengo lake kwa sasa, ila najipanga kushoot video ya wimbo huu wiki ijayo, na bado sijajua nani atakae fanya video ya wimbo huu". amesema Joe.

Wednesday, June 26, 2013

UCHAGUZI WA ARUSHA WAAHIRISHWA TENA ILI KUIMARISHA HALI YA AMANI NA UTULIVU..!!


TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha tena uchaguzi wa madiwani kata nne za Arusha hadi Julai 14 kuruhusu kurejea utulivu baada ya mlipuko wa bomu kwenye mkutano wa kampeni wa Chadema ulioathiri uchaguzi huo wiki iliyopita.
Bomu hilo lilirushwa Juni 15 na mtu asiyejulikana katikati ya mkutano wa Chadema katika viwanja vya Soweto, mjini Arusha na kusababisha vifo vya watu watatu na wengine kujeruhiwa na uchaguzi huo wa Juni 16 kulazimika kuahirishwa.
Baada ya tukio hilo, Msimamizi wa Uchaguzi wa Arusha aliuahirisha hadi Juni 30, lakini jana Mwenyekiti wa NEC, Jaji Damian Lubuva alisema utafanyika Julai.
Kata zinazohusika ni Elerai, Kimandolu, Thani na Kaloleni. Akizungumza na waandishi wa habari, Jaji Lubuva alisema walipotangaza kuwa uchaguzi ungefanyika Juni 30 waliamini kuwa hali ya utulivu na amani ingekuwa imetengemaa.
“Lakini kwa bahati mbaya tumejiridhisha kuwa hali bado inahitaji kuangaliwa kuhakikisha imerejea katika utulivu wake kikamilifu. “Hiyo haimaanishi kuwa ni mbaya, isipokuwa tumeona bado tunahitaji muda wa kama wiki mbili hivi kuona vumbi lililokuwa likitimka limetulia,” Jaji Lubuva alisema.
Kwa mujibu wa Jaji Lubuva, wapiga kura hawapaswi kutekeleza haki yao ya kupiga kura katika wasiwasi hivyo ni wajibu wa Tume kuhakikisha unaondoka na wapiga kura wanatekeleza haki yao kwa amani.
“Tunataka watu wajihisi huru wakati wa kupiga kura, ndiyo maana tumeahirisha uchaguzi wa kata hizo kwa mara nyingine. Wanapokuwa na amani na uhuru wapiga kura wanaweza kuchagua wanayemtaka kwa utaratibu mzuri, vinginevyo, shughuli yote ya kupiga kura inaweza kuharibika,” alisema Lubuva.
Aidha, alitaka wagombea na vyama kutoendeleza kampeni kwa sababu kuahirishwa kwa uchaguzi hakumaanishi kuwaongeza muda wa kujinadi au kutafuta wapiga kura wa kuwaunga mkono.
“Muda wa kupiga kura haujabadilika. Vituo vya kupigia kura havijabadilika na vitafunguliwa saa moja asubuhi na kufungwa saa 10 jioni. 
Waliokuwa katika mstari ndio watakaopiga kura na watakaofika vituoni baada ya muda huo kwisha hawataruhusiwa kupiga kura ili kutoa nafasi ya kura kuhesabiwa,” alisema.
Jaji Lubuva alisema matokeo ya uchaguzi huo mdogo yatatangazwa mapema na taratibu za uchaguzi zitazingatiwa ili kutoa haki kwa wapiga kura na wanaopigiwa kura.
Inadaiwa bomu hilo lililokuwa kwenye mfuko wa plastiki, lilirushwa na mtu asiyejulikana. Waliopoteza maisha katika tukio hilo ni Amir Ally (7), Judith Moshi na Amir Ally.

Thursday, June 20, 2013

HIZI NDIO BAADHI YA PICHA ZA MAZISHI YA WAHANGA WA MLIPUKO WA BOMU HUKO ARUSHA...!!


Picha za Mazishi ya mwenyekiti wa BAWACHA kata ya Sokoni I Judith William Moshi, aliye fariki kwa mlipuko wa bomu kwenye viwanja vya Soweto jijini Arusha siku ya kufunga kampeni za chaguzi ndogo tarehe 15.06.2013..



Click image for larger version.   Name: 3.jpg  Views: 0  Size: 71.2 KB  ID: 98626

NEW AUDIO: STOPA THE RHYMECCA FEAT. JOH MAKINI - "NIMESHAVURUGWA"

Tuesday, June 18, 2013

PICHA ZAIDI YALIYOJIRI ARUSHA LEO....Soma yaliyojiri HAPA.

 
 Baadhi ya Viongozi Wa CHADEMA waliohudhuria Katika Viwanja vya SOWETO

Polisi Wakilinda eneo hilo kabla ya Vurugu.
 

d

Matairi yalivyochoma Barabarani na jinsi zilivyofungwa.

Jeshi la polisi limekipiga marufuku chama cha demokrasia na maendelo(CHADEMA)kufanya shughuli zozote za kuaga miili ya marehemu kwenye viwanja vya Soweto kwani zoezi la uchunguzi bado linaendelea kwenye viwanja hivyo .

Akizungumza ofisini kwake kamanda wa polisi mkoani Arusha, Liberatus Sabas amesema kutokana na uchunguzi unaoendelea wa tukio la bomu kwenye viwanja hivyo imeonelea kuwa si busara kuweka mkusanyiko wa watu kwani kutaharibu upelelezi.


Kamanda Sabas amedai  kuwa  jeshi la polisi  liliwataka viongozi wa chama hicho kuwaeleza wafuasi wao mahali sahihi watakapoweza kufanyia shughuli hiyo lakini si kwenye viwanja hivyo.

Hali kwenye viwanja hivyo imekuwa ya pilika pilika tangu juzi kwa wafuasi wa chama hicho kujikusanya tokea asubuhi hadi jioni kwa madai ya kuomboleza ..

Hata hivyo viongozi wa chama cha demokrasia na maendeleo walikaidi agizo hilo na  kuanza  kujikusanya uwanjani hapo pamoja na wafuasi wa CHADEMA , hali iliyoleta  mvutano kati ya viongozi  wa jeshi la polisi na  wafuasi hao.

Wakati mabishano hayo yakiendelea, Askari Polisi mmoja  alijichanganya na kuingia katikati ya wafuasi wa Chadema pembeni mwa uwanja huo ambao walikua wanasubiri kujua utaratibu wa kuaga miili ya Marehemu waliolipuliwa na bomu June 15 2013.

Baada ya hapo,Wafuasi hao hawakupenda kitendo cha Polisi kujichanganya nao hivyo ikazuka ugomvi huku wakitaka atoke, baada ya dakika kadhaa  mabumu yalianza kusikika.

Baadhi ya viongozi wa juu wa chama hicho waliokuwepo uwanjani hapo ni Tundu lissu, Halima Mdee,Mustapha Akonay Pamoja na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema.