
Showing posts with label inspirational. Show all posts
Showing posts with label inspirational. Show all posts
Friday, October 4, 2013
Video Get 2 Know: Alek Wek South Sudan Model styled By Rosemary Kokuhilwa From Tanzania On the 1st issue of Forbes LIFE AFRICA.

Wednesday, July 24, 2013
Cpwaa Breaks|Sasa nyimbo zake zaanza patikana on "iTunes"....Check out hapa
Cpwaa anakwambia…. Ninayo furaha kuwajulisha kwamba sasa kazi zangu zote za muziki zitakuwa zinapatikana kwenye mitandao yote ya kununua nyimbo za wasanii duniani. Tayari nishasambaza Album yangu ya kwanza ” Pwaa The Album” na singles zingine kama “Hmmm”, na “Mambo” kwenye mitandao ifuatayo:
iTunes, Amazon MP3, Spotify, Google Play, Xbox Music, Deezer, Rhapsody, Simfy, MySpace Music, Nokia, Wimp, Sony Music Unlimited,Napster, Verve Life, Media net, Shazam,eMusic, iHeartRadio, Muve Music, and Rdio.
kwa wale mliokosa nafasi ya kujipatia nakala za album yangu ya kwanza, hii ni fursa kwenu kujipatia Album hiyo kupitia mitandao hii kwa bei nafuu sana. Tupeane support ili tukuze muziki wetu.
kwa sasa namalizia kurekodi album yangu ya pili ambayo ipo kwenye mahadhi ya kimataifa zaidi na punde ikikamilika ntaanza kuachia single moja moja kupitia mitandao hii, mitandao ya simu kwa njia ya RBT na pamoja na wa “The Kleek” chini ya mkataba wangu mpya na Universal Music Group.
Asanteni sana na hii hapa ni link ya kupata nyimbo zangu zote kupitia iTunes, https://itunes.apple.com/
Inspired By Technology:Sasa waweza kupima Malaria kwa kutumia Hii Application|Soma Zaidi Hapa.
Sanyansi na teknolojia ndio vitu vinavyo
run dunia kwa sasa, unaambiwa kutokana na ugunduzi ambao Microsoft
wenyewe wameutambua na kuwapa zawadi ya dola za Kimarekani elfu kumi na
mbili vijana waliofanikisha ugunduzi huo, hivi sasa inawezekana kupima
malaria bila hata kutoa damu lakini hapohapo doctor wako akatumiwa
taarifa za vipimo kwa njia ya electronic.
Kwenye mashindano ya Microsoft Imagine Cup kwa ajili ya vijana, vijana wanne kutoka
Uganda wameweza kujishindia kiasi cha zaidi ya millioni 19 za
kitanzania kwa kutengeneza Windows Application ambayo inafanya kazi na
kifaa kingine kidogo cha nje ambacho mgonjwa anaweka kidole kama
inavyoonekana kwenye picha ili application itoe majibu ya hali ya
malaria mwilini.
Application hiyo waliyoipa jina la Matibabu
kwa sasa inafanya kazi na windows phone lakini ili uweze kupima
malaria unahitaji hiki kifaa cha nje.
Credits:Millard Ayo
PICHA NA VIDEO:PRINCE William& Kate Middleton wakimuonyesha mtoto wao Hadharani.
MUSIC VIDEO:ZaiiD - WHO DAT(Bongo version) Shot in Iringa Ni nzuri good idea.
ZaiiD - WHO DAT(Bongo version)
Saturday, July 20, 2013
#PATRICK NGOWI|ENDORSED

All the way from Arusha, Tanzania ,Patrick Ngowi Founder & C.E.O Of Helvetic solar
>>1st Place Winner of Top 100 Mid Sized Companies in Tanzania 2012-2013
>>1st Place Winner of Top 100 Mid Sized Companies in Tanzania 2012-2013
>> Forbes under 30 Best African Entrepreneurs 2013
>>With Only 28, Forbes list TWICE in 2013 Alone.
>>Nominated for Young Person of the Year – The Africa Prize - The Nobel Prize for Young Africans-->Read More>>>
Following its nomination by Tanzania’s leading consulting and
auditing firm (KPMG) in 2012 as the fastest growing company in the
country, Helvetic Solar and its founder, Patrick Ngowi have from then
been featured in a number of national and international media including
FORBES, Venture Africa, and most recently, he was invited to speak at
the Africa Global Business Forum 2013 that was held in Dubai.
Follow Him On Twitter here-->https://twitter.com/PatrickNgowi
Friday, July 19, 2013
Africa’s Brightest & Best!| List 10 Nominees for The Future Awards Africa Young Person of the Year 2013|Patrick Ngowi All The Way From Arusha on The List.
“As is the tradition, the nominees
for Young Person of the Year – The Africa Prize, were drawn from a huge
pool of talented trailblazers across Africa, who are making tremendous
contributions around the globe,” said Dr. Raymonde Agossou, Head, Division for Human Capacity and Youth Development, African Union Commission. “We are extremely proud of our honorees this year. Working with The Future Project to compile this impressive list was refreshing.”
The winner of this award will be
announced at the awards ceremony to hold in August 2013, in addition,
all the honourees will be given plaques.
Ludwick Marishane – South Africa (22)
South Africa’s youngest patent holder and serial inventor, Ludwick Marishane is the founder of DryBath, the world’s only non-water based germicidal bath substitute lotion for the whole body which has sold 162 units as at 2012. He was rated as the best student entrepreneur in the world (Global Champion of the Global Student Entrepreneurs Awards 2011), one of the 12 winners of Google’s annual Zeitgeist Young Minds Competition, and appeared on Huffington Post and Ted Talks in 2012.
William Kamkwamba – Malawi (25)
A student in the Dartmouth College class of 2014, William Kamkwamba is a Malawian inventor and author who rose to global fame when he built a windmill to power some electrical appliances at their family house back at the age of 14. In 2012, Kamkwamba published his autobiography, an inspirational book, The Boy Who Harnessed the Wind: Creating Currents of Electricity and Hope and a documentary about Kamkwamba, called William and the Windmill, won the Documentary Feature Grand Jury award at SXSW in 2013.
Ashish J. Thakkar – Uganda (32)
Ashish J. Thakkar is the Managing Director of Mara Group, a conglomerate he founded at the age of 15 which includes IT, real estate, manufacturing companies, and more with operations in 26 countries, spanning four continents, and employing over 7,000 people worldwide.
Saran Kaba Jones – Liberia (31)
Saran Kaba Jones is a clean water advocate and social entrepreneur who founded FACE Africa to provide safe drinking water and empower women and girls in her home country of Liberia; FACE Africa had raised over $250,000 to this end and Jones was listed by the Guardian UK in 2013 as one of Africa’s 25 Top Women Achievers alongside President Joyce Banda of Malawi and Nobel Laureate Leymah Gbowee.
Moctar Dembele – Burkina Faso (22)
Moctar Dembélé, one half of the team of African students that invented The Faso Soap, together with his partner, (Gérard Niyondiko, from Burundi), he is the first non-American born/citizen, to win the Global Science Venture Competition (GSVC) organized by the University of California Berkeley, USA for inventing the anti-malaria repellant soap.
Grace Ihejiamaizu – Nigeria (22)
Named as one of Google’s 12 Brightest Young Minds in 2011, and by the US Government as ‘International Exchange Alumni Member of the Month for September 2012’, Grace Ihejiamaizu is an entrepreneur and global change-maker. In 2010, she founded an after-school youth project, Raising Young Productive Entrepreneurs (RYPE) Initiative; in 2012, she started a Social Enterprise company called iKapture Networks and founded the fast-growing online platform, opportunitydesk.org.
Patrick Ngowi – Tanzania (28)
Following its nomination by Tanzania’s leading consulting and auditing firm (KPMG) in 2012 as the fastest growing company in the country, Helvetic Solar and its founder, Patrick Ngowi have from then been featured in a number of national and international media including FORBES, Venture Africa, and most recently, he was invited to speak at the Africa Global Business Forum 2013 that was held in Dubai.
Peter Okoye and Paul Okoye (PSQUARE) – Nigera(31)
This inspiring twin brothers have been tagged one of the very best in African music. Signed to Akon’s Konvict Musik, Psquare signed a record distribution deal with Universal Music Group in 2012, the same year they released their hugely successful remix singles/videos featuring global music giants, Akon “Chop My Money”, and Rick Ross “Beautiful Onyinye Remix”. The duo has just come off a massively successful African tour where they easily filled up stadia in Malawi, South Africa, Uganda, Zimbabwe, Equatorial Guinea, Congo Brazzaville, and more.
Fohlabenchi Lily Haritu – CAMEROON (27)
A finalist of the 2013 Commonwealth Youth Awards for Excellence in Development Work, Foglabenchi Lily Haritu, is the youngest individual to reach the position of program supervisor in the Cameroon Baptist Convention Health Services. Haritu has demonstrated an outstanding commitment to reproductive and sexual health rights education and rights promotion particularly through her work with stationary and rural mobile clinics across Cameroon.
Kariuki Gathitu – Kenya (27)
Kariuki Gathitu is an entrepreneur, and software developer who in 2010 turned down an offer to work for Google to instead developed a mobile payment management system called MPAYER. MPAYER has been widely acknowledged and received awards for innovation and recently won second position in a global competition held in South Africa called Dragons Den (2013) and was the best application in Africa; it came second in the World’s 50 Top Startups Globally (2013), and in same year was named one of the Top Tech Start ups You Need to Know in Africa by CNN.
Thursday, July 18, 2013
HAPPY 95th BIRTHDAY NELSON MANDELA (MADIBA)
Afrika Kusini leo wanasherehekea miaka 95 ya kuzaliwa kwa Mzee Nelson Mandela huku rais huyo wa zamani bado yuko mahututi hospitalini.
Ilikuwa ikitabiriwa kwamba shujaa huyo wa vita dhidi ya ubaguzi wa rangi kwamba angeruhusiwa kwenda kusherehekea siku yake ya kuzaliwa lakini bado yuko hospitali kutokana na kurejea maambukizi kwenye mapafu.
Kituo cha Kumbukumbu ya Nelson Mandela na makundi mengine yamewataka watu kujitolea kwa dakika 67 kwa kazi za hisani kukumbukia miaka 67 ambayo Mandela aliitumikia jamii yake.
Umoja wa Mataifa pia umetambua mapambano ya Mandela dhidi ya ubaguzi wa rangi na kusema siku yake ya kuzaliwa ni fursa ya kuenzi urithi wake, na shughuli mbalimbali zimeandaliwa duniani kote.
Siku ya kuzaliwa Mandela, Julai 18, ilitangazwa rasmi kuwa Siku ya Kimataifa ya Mandela na Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mwaka 2009 kama kutambua mchango wake kwa utamaduni wa amani na uhuru.
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon alisema Siku ya kuzaliwa Mandela mwaka huu imekuja katika wakati wa 'kuakisi kwa kina maisha yake na kazi ya Madiba, huku kiongozi huyo wa aina yake akiwa bado yuko hospitalini'
Aliongeza: "Nelson Mandela alijitolea miaka 67 ya maisha yake kupigania haki za binadamu na haki kwa wote."
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma ataadhimisha siku ya kuzaliwa Mandela kwa kutoa michango ya nyumba kwa familia masikini katika eneo la Pretoria.
Mandela alilazwa hospitali mjini Pretoria Juni 8 kwa matatizo ya maambukizi kwenye mapafu yake.
Mapema wiki hii, Rais mstaafu Thabo Mbeki alibashiri kwamba Mandela anaweza kuruhusiwa kutoka hospitali mapema na kwenda kupatia nafuu nyumbani.
Marafiki ambao walimtembelea wamesema yuko kwenye mashine ya kusaidia maisha kwa ajili ya kusaidia tu kupumua kwa urahisi.
Taarifa rasmi za hivi karibuni kabisa kuhusiana na afya yake zilisema Mandela alikuwa kwenye hali mbaya lakini inayoimarika.
Lakini wote, mke wa Mandela, Graca Machel, na Rais Jacob Zuma wamesema hivi karibuni kwamba Mandela anaendelea vema na matibabu.
Shujaa huyo wa mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi alitumikia miaka 27 gerezani kabla ya kuja kuwa Rais wa kwanza mweusi wa Afrika Kusini mwaka 1994
Saturday, July 13, 2013
PICHA:MTANZANIA ALIYETEMBEA KWA MIGUU KUTOKA MBEYA HADI DAR ES SALAAM
Kijana Wiseman Luvanda(23) akikamilisha safari yake ya kutoka Mbeya hadi Dar es salaam kwa miguu
Kauli mbiu yake "Tanzania nchi yangu,Taifa Stars Timu yangu, Amka wakati wa Uzalendo
Friday, July 5, 2013
Monday, July 1, 2013
PHOTOS: Huyu ndiye Mtanzania anaemiliki Gari la Tsh Bilioni Moja(Lamboghini)
“HII sasa ni kufuru!” Hivi ndivyo utakavyoweza kusema kwa Davies Mosha ambaye ni makamu mwenyekiti wa zamani wa klabu ya Yanga, ambaye nafasi yake kwa sasa klabuni hapo inashikiliwa na Clement Sanga.
Kwa
tafsiri ya haraka, yawezekana Mosha anaweza kuwa ndiye kiongozi pekee
wa soka nchini kumiliki gari la kifahari na lenye gharama kubwa aina ya
Lamborghini kama ambalo linamilikiwa na mshambuliaji wa Manchester
United, Wayne Rooney.
Gari analomiliki Mosha ambalo lina rangi ya njano, linaaminika kuwa miongoni mwa magari yenye thamani kubwa siyo tu Tanzania na Afrika, bali duniani kote, kwani hata siku Rooney alipolinunua wenzake wengi hawakutegemea, siyo kwa sababu hana fedha, ila kwa kuwa hakuwa mtu wa matumizi ya magari yenye thamani kubwa kama hilo.
Mosha ameliambia Championi Ijumaa kuwa anamiliki magari kadhaa ya kifahari kwa matumizi yake binafsi na familia yake.
Yafuatayo ni maelezo kuhusiana na gari hilo la kifahari kwa kuanzia kiwango cha mafuta na usumbufu anaoupata akiwa katika mizunguko yake.
Ameinunua kwa bei gani?
“Kutokana na ubora wa gari hili, nililazimika kutoa shilingi bilioni moja kwa ajili ya kulinunua, kama unavyojua ni fedha nyingi, nimenunua kwa mapenzi yangu.
Alipolinunua
“Hili gari kaniuzia mtoto wa Bakhresa (Yusuph), baada ya kufikia makubaliano kati yake na mimi, aliniuzia Julai 2011.
Spidi ya gari
“Hili gari kasi yake ya mwisho ni 360, ni kasi kali na inatosha kwa matumizi yangu binafsi.
Matumizi ya mafuta
“Matumizi ni ya kawaida wala siyo ya kuogopesha sana, inategemea na umbali utakaotembea.
Usumbufu anaoupata
“Usumbufu mkubwa ninaoupata kiukweli, nikiwa naendesha barabarani, madereva wengine wanalishangaa sana, hali inayosababisha kutokea ajali au msuguano mara kadhaa.
“Hivi karibuni dereva mmoja aliigonga sehemu ya tairi la nyuma kushoto kutokana na kuishangaa, ilikuwa maeneo ya Masaki hapahapa Dar es Salaam.
“Matengenezo yake yaligharimu pauni 20,000 (zaidi ya shilingi milioni 50), hali iliyosababisha niwe makini nikiwa naendesha,” anasema Mosha.
“Matengenezo yake yaligharimu pauni 20,000 (zaidi ya shilingi milioni 50), hali iliyosababisha niwe makini nikiwa naendesha,” anasema Mosha.
SOURCE: GPL
Saturday, June 29, 2013
CHEK HII:BEYONCE Avaa Nguo iliyotengenezwa na KANGA Yenye Maneno ya Kiswahili iliyotengenezwa na Designer MTz
Nguo hiyo yenye maneno"WAWILI NYINYI YAWAHUSU" aliyovaa katika Moja ya Shows Zake ya Tour za "Mrs Carter"
Katikati Christine Mhando Mwenye Brand ya Chichia London ambaye ametengeneza Nguo hiyo ambaye anaishi London Uingereza.
#FAHAMU: Mdake Babu Ambaye Ameishika Game Ya Hip-Hop Marekani (greatest of all the times) Kupitia Hapa
Umri wake ni miaka 50
na anafahamika kama Rick Rubin, Jina lake halisi ni Frederick Jay Rubin
ama wengine pia wanamfahamu kama DJ Double R, Ni Producer wa miaka
mingi ambaye amebobea katika kupika midundo ya Rock, hip hop, heavy
metal, country, pop, punk rock, hard rock, blues, world music na
post-industrial.
Vyombo anavyopiga ni electric guitar, piano na amekuwa kwenye game tokea mwaka 1982 na amekuwa moja ya waaanzilishi na pia watayarishaji muziki katika labels maarufu kama Def Jam, American, Columbia, Warner Bros.
Rick amekwishapiga mzigo na wakali kama Run-D.M.C., Jay-Z, Kanye West Linkin Park, Josh Groban, Danzig, The Cult, Slipknot, Adele na wengine kibao na mzee huyu kwa sasa anatokea kwenye headlines mbalimbali kutokana na kuwa moja ya watayarishaji wenye mchango mkubwa sana kwenye kuisuka albam mpya ya Kanye - Yeezus na pia Jay Z - Magna Carta.
Thats Rick....
Vyombo anavyopiga ni electric guitar, piano na amekuwa kwenye game tokea mwaka 1982 na amekuwa moja ya waaanzilishi na pia watayarishaji muziki katika labels maarufu kama Def Jam, American, Columbia, Warner Bros.
Rick amekwishapiga mzigo na wakali kama Run-D.M.C., Jay-Z, Kanye West Linkin Park, Josh Groban, Danzig, The Cult, Slipknot, Adele na wengine kibao na mzee huyu kwa sasa anatokea kwenye headlines mbalimbali kutokana na kuwa moja ya watayarishaji wenye mchango mkubwa sana kwenye kuisuka albam mpya ya Kanye - Yeezus na pia Jay Z - Magna Carta.
Thats Rick....
Tuesday, June 25, 2013
TRIBUTE TO MICHAEL JACKSON:King Of Pop FOUR YEARS AFTER HIS DEATH.
Today its four years Aniversary since his Death Michael Jackson"King Of Pop" will still be rembered by his Music which touched/inspired Almosty every one
PHOTO:Mohamed Dewji AWA MTANZANIA WA KWANZA KUWEKWA KWENYE COVER la JARIDA la FORBES AFRICA....July 2013.

Video ya Behind the scene with Mohamed Dewji
Subscribe to:
Posts (Atom)







