h
Mwanamuziki na
muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Baby Madaha yuko nchini Kenya na
tayari ameshakabidhiwa gari yake mpya aina ya Audi TT aliyopewa na
Record Label ya Candy n Candy huko Kenya baada ya kusaini mkataba wa
kufanya kazi na kampuni hiyo …
Baaada ya Beef lilodumu kwa muda mrefu sasa kati ya Rapper kutoka Toronto "Drake" na Rn'B Singer Chris Brown kuisha siku chache zilizopita wazidi boresha urafiki wao baada ya wawili hao kuingia Studio pamoja....Chris Brown alipost "Hanging with Drake in the studio".....It's TIME sasa ya Mafans kusubiri mzigo mpya toka kwa Mastar wawili hao.
This time Flaviana Matata amaeshiriki tena na kuonekana kutangaza Brandy kubwa ya "Kate Spade Saturday" tena akioneka wa kwanza kabisa on the officialy website ya KSS......Hizi ni baadhi ya Picha zake akitangaza brand hiyo.
Yeahh It's Diamond Platnumz tena kesho August 29 2013 anategemea kuitambulisha kwa
fans wake video yake mpya kabisa ambayo picha zake zilisambaa kwenye
mtandao ambapo ameishoot Afrika Kusini na hili tukio litafanyika kwenye
hotel ya kifahari Dar es salaam… Serena.
Diamond mwenyewe anasema hakutakuwa na kiingilio kwenye uzinduzi huo lakini wataofika ni wale waliopewa mwaliko
maalum kuingia kwenye hii hoteli maarufu ambayo ilizoeleka pia
kuwahudumia mastaa wakubwa wa muziki kama Fabolous, Koffi Olomide na
wengine lakini this time Diamond Platnums amekodi ukumbi alafu hataki
watu walipe kiingilio, yani anaalika tu.
Hapa Kate Middleton na mtoto wake aliyepewa Jina la George Alexander Louis Siku Mbili baada ya kuzaliwa kwakePrince William akiwa na familia yake saa24 baada ya mtot wao kuzaliwaHali ilivyokuwa njee ya hospitali St.Marry's Hospitalhapa wakiondoka Hospitalini Hapo Video ya tukio zima angalia hapa chini
Miili ya wanajeshi saba mashujaa wa Tanzania waliofariki wakiwa kazini
wakitekeleza ulinzi wa amani wa kimataifa katika mkoa wa Darfur nchini
Sudan, imewasili leo kwa ndege maalumu ya Umoja wa Mataifa.
Kaimu
Mkurugenzi wa habari wa JWTZ, Meja Joseph Masanja amesema miili hiyo
imewasili leo Jumamosi majira ya saa 9.45 alasiri katika uwanja wa ndege
wa kimataifa wa JNIA na imehifadhiwa katika hospitali ya jeshi ya
Lugalo hadi Julai 22 ambapo itaagwa rasmi.
Miili iliyowasili ni
ya Sajenti Shaibu Othuman, Koplo Oswald Chaula, Koplo Mohamed Juma,
Koplo Mohamed Chikilizo, Pte. Rodney Ndunguru, Pte. Peter Werema na Pte.
Fortunatus Msofe.
Shughuli za kuagwa miili ya wanajeshi hao
zitafanyika katika viwanja vya Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga
taifa vilivyoko Upanga jijini Dar es salaam.
Kuwapoteza wanajeshi
hawa ni la kwanza na kubwa kwa nchi ya Tanzania tangu Tanzania
ilipoanza kuchangia walinzi wa amani chini ya Umoja wa Mataifa mwaka
2007. Wanajeshi wengine watatu wa Tanzania walifariki dunia mwezi
uliopita baada ya chombo chao cha kusafiria kusombwa na maji ya mto
uliokuwa umefurika huko nchini Sudan.