SOURCE:MILLARD AYO
Sunday, May 26, 2013
PHOTOS & BIO:NANDO & FEZA KESSY from ARUSHA #TeamBBA"THE CHASE" KUTOKA TZ
FEZA KESSY, 25
Bio
Recording artist Feza is from Arusha and has a certificate in IT. A fan of French fries and Ugali na Maziwa. She loves Big Brother and says that people always do well after appearing on the show, something she feels is vital for her career. She says that if she wins the grand prize, she’ll invest some, take her son to Disneyland and possibly buy a house.Feza describes herself as “fun, bubbly, loyal, kind and strong” and thinks her best trait is her humility.
She enjoys people who are honest, caring and fun, but dislikes those who are liars. She promises viewers “a lot of dance, a bit of noise and lots of laughs too”. She’s hoping to get exposure and growth from her time in the house.
Her mom is her role model, whom she cites as “the strongest, most beautiful and humble person I know. She has an older brother and sister, and one younger brother.
NANDO, 22
Bio
Student Nando says he has never watched Big Brother before and says it feels “normal” that the continent will be watching him 24/7. His friends encouraged him to enter and he says that if he wins the grand prize, he’ll “build an empire”.Aside from the cash, Nando says he wouldn’t mind picking up a few endorsements on the back of his appearance on the show. Describing himself as “young, ambitious, fun and loving”, Nando says he’s never thought about his best quality, but likes people with good personalities. His favourite place in Tanzania is Arusha, and globally, Brazil, because he loves football. He eats everything, likes good music and his favourite TV show is 1000 Ways To Die. His favourite actors are Scarlett Johansson and Martin Lawrence.
Saturday, May 25, 2013
Thursday, May 23, 2013
Wednesday, May 22, 2013
PICHA NA TAARIFA ZAIDI KUHUSIANA NA VURUGU ZA MTWARA
Taarifa zinaripoti kwamba hali sio
nzuri huko Mtwara, kwa ufupi hali ni tete na hakuna amani, mabomu ya
machozi yanarindima muda huu na huduma zote za kijamii zimefunngwa
hakuna usafiri, masoko, maduka na bar zote zimefungwa, daladala, Taxi na
Bodaboda hazifanyi kazi. Kwa ujumla kinachoendelea ni mapambano makali
kati ya Jeshi la polisi na wananchi wenye hasira wanaopinga vikali
kuendelea kwa mchakato wa gesi ilihali nchi ikiwa haina sera
inayosimamia nishati hiyo. Kufuatia Kambi ya Upinzani kuukataa mpango wa
serikali wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara Mpaka Dar es salaam.
Daraja la Mikindani limevunjwa hakuna mawasiliano Mtwara na Dar es
salaam. Baadhi ya Wananchi wamepora Silaha na wanazitumia kujibu
mashambulizi ya Jeshi la Polisi (habari haijathibitishwa rasmi) Jengo
la Ofisi ya CCM saba saba limechomwa moto. Lodge/Hotel (Shengena)
inayoaminika kwamba ndiyo waliyofikia Askari wa Jeshi la Polisi (FFU)
kutoka mikoa ya jirani kwaajili ya operation inayoendelea imechomwa
moto. Milio ya risasi na mabomu ndicho kinachosikika. Nyumba kadhaa
za watumishi wa Serikali zimechomwa maeneo ya Shangani. (habari
haijathibitishwa rasmi) Ni magari ya FFU ndio yaliyopo barabarani nayo
yanapata wakati mgumu kupitakwasababu ya mawe na magogo makubwa
yaliyowekwa na Wananchi. Askari kadhaa wamekufa (habari hii
haijathibitishwa rasmi) Baadhi ya watu kadhaa wamechukuliwa na askari
kwakuwa wamepita jirani na gari yao. Yadaiwa askari wengi waliokuja si
wa Mtwara, wengi wametoka Masasi na Lindi. Ving'ora vinalia hovyo.
Watoto wamefungiwa mashuleni walimu wamekimbia. Vituo vya Redio vya
Mtwara havizungumzii hali hii ya hatari bali vinapiga Muziki pengine
vinakusanya matukio na habari ya majanga haya ili Wananchi wayapate.
Mabomu yanapigwa mfululizo maeneo ya Magomeni-Mtwara, mpaka sasa
takriban mabomu 20 na ushee yameshapigwa. Wakati waziri wa Nishati
akisoma hotuba yake kwa hisia kali na mbwembwe na kusema bomba la gesi
linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar Kauli mbiu ya Wananchi wa Mtwara ni
"Gesi haitoki hata kwa bomba la peni" Wananchi walalamikia kituo cha
Television na Radio TBC kuzuia na kukata mawimbi yake kutoonekana wala
kusikika katika Mkoa wa Mtwara kwa muda. Hatimaye hivi Punde matangazo
yarejea. Hili linaendelea wakati bajeti ya nishati na madini ikiendelea
kujadiliwa muda huu Bungeni. Endelea kuwa nasi mpaka hapo baadae
ambapo tutaweza kukujuza zaidi kile ambacho kinaendelea kutukia Mtwara.

Tuesday, May 21, 2013
UTATA WA TOUR YA JAY Z TO TZ
Bado wataalam wa mambo wanaendelea
kutofautiana kuhusu ratiba ya Tour ya Jay – z iliyotolewa na Billboard
hivi karibuni katika ratiba hiyo imeandikwa Jay z atatua katika miji 7
ya Africa ikiwemo jiji la Dar es salaam Oktoba 4 mwaka huu pale Diamond
Jubilee. Ratiba hiyo inatia shaka kwa sababu Jay z aliperform tarehe na
mwezi kama huo Dar es salaam mwaka 2006 na katika website ya Jay za
ametoa ratiba ya Tour zake laini ameishia kuandika mwezi Septemba
hajaandika mpaka Oktoba kama walivyoandika Billboard.
SOURCE:Dj Fetty
SOURCE:Dj Fetty
NEW VIDEO:TZ ALL FEMALE STARS-KIDOLE KIMOJA (FISTULA OFFICIAL VIDEO)
Tz All Female Stars
Kidole Kimoja.(FESTULA)
Studio:Surround Sound Studio
Prod:Nash Designer
Dir:Sadiki Hamadi & Peter Mbogo
Redline Production
Kidole Kimoja.(FESTULA)
Studio:Surround Sound Studio
Prod:Nash Designer
Dir:Sadiki Hamadi & Peter Mbogo
Redline Production
SABABU ZA MSANII PROFESA JAY KUCHUKUA KADI YA CHADEMA....HIKI NDO ALICHOKISEMA
Mh Sugu,Profesa Jay na Mh John Mnyika leo Dodoma.
Profesa Jay amesema yeye ni
mwanaharakati muda mrefu na amejiunga na amejiunga na CHADEMA rasmi
leo lakini yeye ni mfuasi wa Chama hicho muda mrefu kutokana na
harakati zake za kutaka kuikomboa Tanzania.Profesa Jay alisema kuwa
anapenda Tanzania Bora,na anaamini Chama cha Chadema kina muelekeo
huo wa kuipeleka Tanzania kuwa Bora.Hiyo ndo maana ameamua kuchukua
kadi ya chama hicho na si kwa nia ya kufanya Siasa ila ni kwaajili ya
kuijenga Tanzania na kuendeleza harakati.
Sunday, May 19, 2013
PHOTOS:Kanye West New Album Art is…Interesting
Subscribe to:
Posts (Atom)






