Wednesday, May 22, 2013

BRAND NEW SONG: ABBY SKILLS FEAT CHEGGE / SHANNY NA JENNY


PICHA NA TAARIFA ZAIDI KUHUSIANA NA VURUGU ZA MTWARA

 
Taarifa zinaripoti kwamba hali sio nzuri huko Mtwara, kwa ufupi hali ni tete na hakuna amani, mabomu ya machozi yanarindima muda huu na huduma zote za kijamii zimefunngwa hakuna usafiri, masoko, maduka na bar zote zimefungwa, daladala, Taxi na Bodaboda hazifanyi kazi. Kwa ujumla kinachoendelea ni mapambano makali kati ya Jeshi la polisi na wananchi wenye hasira wanaopinga vikali kuendelea kwa mchakato wa gesi ilihali nchi ikiwa haina sera inayosimamia nishati hiyo. Kufuatia Kambi ya Upinzani kuukataa mpango wa serikali wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Mtwara Mpaka Dar es salaam. Daraja la Mikindani limevunjwa hakuna mawasiliano Mtwara na Dar es salaam. Baadhi ya Wananchi wamepora Silaha na wanazitumia kujibu mashambulizi ya Jeshi la Polisi (habari haijathibitishwa rasmi) Jengo la Ofisi ya CCM saba saba limechomwa moto. Lodge/Hotel (Shengena) inayoaminika kwamba ndiyo waliyofikia Askari wa Jeshi la Polisi (FFU) kutoka mikoa ya jirani kwaajili ya operation inayoendelea imechomwa moto. Milio ya risasi na mabomu ndicho kinachosikika. Nyumba kadhaa za watumishi wa Serikali zimechomwa maeneo ya Shangani. (habari haijathibitishwa rasmi) Ni magari ya FFU ndio yaliyopo barabarani nayo yanapata wakati mgumu kupitakwasababu ya mawe na magogo makubwa yaliyowekwa na Wananchi. Askari kadhaa wamekufa (habari hii haijathibitishwa rasmi) Baadhi ya watu kadhaa wamechukuliwa na askari kwakuwa wamepita jirani na gari yao. Yadaiwa askari wengi waliokuja si wa Mtwara, wengi wametoka Masasi na Lindi. Ving'ora vinalia hovyo. Watoto wamefungiwa mashuleni walimu wamekimbia. Vituo vya Redio vya Mtwara havizungumzii hali hii ya hatari bali vinapiga Muziki pengine vinakusanya matukio na habari ya majanga haya ili Wananchi wayapate. Mabomu yanapigwa mfululizo maeneo ya Magomeni-Mtwara, mpaka sasa takriban mabomu 20 na ushee yameshapigwa. Wakati waziri wa Nishati akisoma hotuba yake kwa hisia kali na mbwembwe na kusema bomba la gesi linajengwa kutoka Mtwara kwenda Dar Kauli mbiu ya Wananchi wa Mtwara ni "Gesi haitoki hata kwa bomba la peni" Wananchi walalamikia kituo cha Television na Radio TBC kuzuia na kukata mawimbi yake kutoonekana wala kusikika katika Mkoa wa Mtwara kwa muda. Hatimaye hivi Punde matangazo yarejea. Hili linaendelea wakati bajeti ya nishati na madini ikiendelea kujadiliwa muda huu Bungeni. Endelea kuwa nasi mpaka hapo baadae ambapo tutaweza kukujuza zaidi kile ambacho kinaendelea kutukia Mtwara. 

 

SOURCE:Dartimes.com

Tuesday, May 21, 2013

NEW JOINT: ATTENTION / MRAP FEAT DEDDY

                          


      From B hitz Produced By Pancho Latino

UTATA WA TOUR YA JAY Z TO TZ

Bado wataalam wa mambo wanaendelea kutofautiana kuhusu ratiba ya Tour ya Jay – z iliyotolewa na Billboard hivi karibuni katika ratiba hiyo imeandikwa Jay z atatua katika miji 7 ya Africa ikiwemo jiji la Dar es salaam Oktoba 4 mwaka huu pale Diamond Jubilee. Ratiba hiyo inatia shaka kwa sababu Jay z aliperform tarehe na mwezi kama huo Dar es salaam mwaka 2006 na katika website ya Jay za ametoa ratiba ya Tour zake laini ameishia kuandika mwezi Septemba hajaandika mpaka Oktoba kama walivyoandika Billboard.
SOURCE:Dj Fetty

NEW VIDEO:TZ ALL FEMALE STARS-KIDOLE KIMOJA (FISTULA OFFICIAL VIDEO)

 


Tz All Female Stars
Kidole Kimoja.(FESTULA)
Studio:Surround Sound Studio
Prod:Nash Designer
Dir:Sadiki Hamadi & Peter Mbogo
Redline Production

SABABU ZA MSANII PROFESA JAY KUCHUKUA KADI YA CHADEMA....HIKI NDO ALICHOKISEMA

 Mh Sugu,Profesa Jay na Mh John Mnyika leo Dodoma.
Profesa Jay amesema yeye ni mwanaharakati muda mrefu na amejiunga na amejiunga na CHADEMA rasmi leo lakini yeye ni mfuasi wa Chama hicho muda mrefu kutokana na harakati zake za kutaka kuikomboa Tanzania.Profesa Jay alisema kuwa anapenda Tanzania Bora,na anaamini Chama cha Chadema kina muelekeo huo wa kuipeleka Tanzania kuwa Bora.Hiyo ndo maana ameamua kuchukua kadi ya chama hicho na si kwa nia ya kufanya Siasa ila ni kwaajili ya kuijenga Tanzania na kuendeleza harakati.

Sunday, May 19, 2013

PHOTO:Wiz Khalifa n' Amber Rose @ the 2013 Billboard Awards

 
(photo courtesy of Just Jared).,

PHOTOS:Kanye West New Album Art is…Interesting

kanye-west-debuts-black-skinhead-on-saturday-night-live-finale-1 


(AllHipHop News) Kanye West is on a roll.  He debuted two new songs and announced the release date of his new album (June 18th). Hours after his performance on the season finale of Saturday Night Live Mr. West is now giving us the name of his latest LP – Yeezus.
KanyeWestalbum


Saturday, May 18, 2013

TEAM ANACONDA by Lady Jay Dee

31.5.13 #teamANACONDA


VIDEO:Camp Mulla - oH mA gAd ft WondaBoy (Official Music Video)


I Will Love To Marry Rihanna – Wizkid


Wizkid has revealed that he will love to marry Barbados-born music star Rihanna should the opportunity present itself.
The 23-year-old Pakurumo hit singer is currently basking in international music success and while he is receiving a lot of attention from other women, he rather has his eyes on Diamonds singer Rihanna.
Listing five of his wildest and craziest dreams on the Volt on Channel 0, Wizkid disclosed that: "I will like to marry Rihanna."
"I just wanna wake up in the morning looking in her face. Gosh that will be lovely," he noted beaming with smiles.
Well with Rihanna’s relationship with Chris Brown once again hitting the rocks, Wizkid might have a shot at her as she could be on the hunt for a new man.
This will not be the first time the talented musician is professing love for a female celebrity.
Last year, he disclosed in an interview on The Juice on Ndani TV that he had a crush on 34-year-old Nollywood superstar actress, Genevieve Nnaji.
According to Wizkid, "I really had a crush on Genevieve until I met her and I realized she was my aunty. I love her. When I was a kid, I loved watching her movies.
I Will Love To Marry Rihanna – Wizkid
I met her when I was with my older uncles, they told her to come meet their boy (me) and I said "Good evening ma". It is all good though, I still love you Genevieve."
When teased by Toolz, host of The Juice if he could still date the 34-year-old screen goddess, he said, "Yea, definitely, but I doubt she would date me."
Wizkid also disclosed that his wildest and craziest dreams include, robbing a bank with the help of his friends, robbing a shoe store and wearing a new pair every hour.
He said he will love to have a private party with Beyoncé, Rihanna and Nicki Minaj in one room. All the three divas to himself.
He added that he will love to also chew his chicken bones in public.

HaPpY BirthdAY Minky Lewinsky

 


Friday, May 17, 2013

DRAKE LEADS 2013 BET NOMINATIONS.....Check out the NOMINEES LIST.

                                                                   


The 2013 BET Awards nominations have been announced -- and Drake has scored the most nods. The rap star has snagged 12 nominations -- mostly from the collaborations that he's done in the past year. The rapper dominates the Best Collaboration and Video of the Year categories for "No Lie", his collaboration with 2 Chainz, "Problems" with A$AP Rocky, "Poetic Justice" with Kendrick Lamar and "Pop That" with French Montana. He is also up for Best Male Hip-Hop Artist and his singles "HYFR" and "Started from the Bottom" scored him Video of the Year nods.
Kendrick Lamar and 2 Chainz has picked up eight nods, while A$AP Rocky earned five. Rihanna, Miguel, Kanye West and Miguel each earned three nominations.
  • Kendrick Lamar said about his nods, "I'm still fairly new at this thing right here, so to receive an award of this caliber means a lot to me."
  • Chris Brown and R. Kellywill perform at the show.
  • The BET Awards will air on June 30th at Nokia Theater L.A. Live.
  
Check out the nominations below:
Best Female R&B/Pop Artist
Beyonce
Tamar Braxton
Alicia Keys
Rihanna
Elle Varner
Best Male R&B/Pop Artist
Chris Brown
Bruno Mars
Miguel
Justin Timberlake
Usher
Best Group
Macklemore & Ryan Lewis
Mary Mary
Mindless Behavior
Slaughterhouse
The Throne (Kanye West & Jay-Z)
Best Collaboration
2 Chainz f/ Drake - "No Lie"
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar - "Problems"
French Montana f/ Rick Ross, Drake and Lil Wayne - "Pop That"
Kendrick Lamar f/ Drake - "Poetic Justice"
Justin Timberlake f/ Jay-Z - "Suit & Tie"
Kanye West f/ Big Sean, Pusha T and 2 Chainz - "Mercy"
Best Male Hip Hop Artist
2 Chainz
A$AP Rocky
Drake
Future
Kendrick Lamar
Best Female Hip Hop Artist
Azealia Banks
Eve
Nicki Minaj
Rasheeda
Rye Rye
Video of the Year
2 Chainz f/ Drake - "No Lie"
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar - "Problems"
Drake - "Started From The Bottom"
Drake f/ Lil Wayne - "HYFR"
Kendrick Lamar f/ Drake - "Poetic Justice"
Macklemore & Ryan Lewis f/ Wanz - "Thrift Shop"
Miguel - "Adorn"
Rihanna - "Diamonds"
Justin Timberlake f/ Jay-Z - "Suit & Tie"
Kanye West f/ Big Sean, Pusha T and 2 Chainz - "Mercy"
Video Director of the Year
A$AP Rocky & Sam Lecca
Benny Boom
Director X
Dre Films
Hype Williams
Best New Artist
Azealia Banks
Joey Bada$$
Kendrick Lamar
Trinidad Jame$
The Weeknd
Best Gospel Artist
Deitrick Haddon
Lecrae
Tamela Mann
Mary Mary
Marvin Sapp
Best Actress
Angela Bassett
Halle Berry
Taraji P. Henson
Gabrielle Union
Kerry Washington
Best Actor
Don Cheadle
Common
Jamie Foxx
Samuel L. Jackson
Denzel Washington
YoungStars Award
Gabrielle Douglas
Jacob Latimore
Keke Palmer
Jaden Smith
Quvenzhane Wallis
Best Movie
Beasts of the Southern Wild
Django Unchained
Something from Nothing: The Art of Rap
Sparkle
Think Like A Man
Subway Sportswoman of the Year
Gabrielle Douglas
Brittney Griner
Candace Parker
Serena Williams
Venus Williams
Subway Sportsman of the Year
Victor Cruz
Kevin Durant
Robert Griffin III
LeBron James
Ray Lewis
Coca-Cola Viewers Choice Award
A$AP Rocky f/ Drake, 2 Chainz and Kendrick Lamar - "Problems"
Drake - "Started From The Bottom"
Kendrick Lamar - "Swimming Pools (Drank)"
Miguel - "Adorn"
Rihanna - "Diamonds"
Justin Timberlake f/ Jay-Z - "Suit & Tie"
Centric Award
Tamar Braxton - "Love and War"
Fantasia - "Lose To Win"
Miguel - "Adorn"
Nas - "Daughters"
Charlie Wilson - "My Love Is All I Have"
Best International Act: Africa
2Face Idibia (Nigeria)
Toya Delazy (South Africa)
Donald (South Africa)
Ice Prince (Nigeria)
R2Bees (Ghana)
Radio and Weasel (Uganda)
Best International Act: UK
Marsha Ambrosius
Estelle
Labrinth
Rita Ora
Emeli Sande


VIDEO:Amani ft Radio & Weasel- Kiboko changu (Official Ogopa Video)

 


REPORT: BEYONCE PREGNANT WITH SECOND CHILD?



 
t looks like Blue Ivy may become a big sister soon! Sources have confirmed exclusively to E! News that Beyonce is pregnant with baby number 2!!

Rumors have been circulating recently that Queen Bey is expecting. She recently appeared on the red carpet at the Met Gala wearing a custom-made Givenchy gown that concealed, what appears to be a baby bump. Then earlier this week, she cancelled a show (on doctor's orders), due to "exhaustion and dehydration." This only fueled the pregancy rumors even further.
Of course, this is all surrounding her recent interview with ABC, saying that she would like to have more children.
According to E!, Jay's reps had no comment, and Beyonce's reps could not be reached for comment.



PHOTOS:HUDDAH MONROE....THE BOSSY LADY KENYA Releases Her Latest Nude Photos


 


huddah-monroe-0 
s