Monday, April 29, 2013

Talk Of The Town:BAADHI YA PICHA LEO MAHAKAMANI KTK KESI YA LEMA NA MABANGO NA YALIYOANDIKWA

 
Kutokana kesi iliyokuwa inamkabili mbunge wa arusha mjini Mh.Godbless Lema Kutupiliwa 
mbali na mahakama kuu mjini Arusha leo,ameachiwa huru na kusababisha maandamano makubwa mjini Arusha yaliyoanzia mahakama kuu mpaka Makao makuu ya CHADEMA Ngarenaro Arusha kushangilia Ushindi wa Mbunge huyo.
Picture 
Mh.Joshua Nassari akiwasili
Picture 
Baadhi Ya Mabango
Picture 


Picture 



No comments:

Post a Comment