Showing posts with label Gwair. Show all posts
Showing posts with label Gwair. Show all posts
Monday, June 17, 2013
Friday, June 7, 2013
PHOTOS:DEMU MZUNGU WA NGWEA AWALIZA WATU, MCHEKI HAPA
MAJONZI na vilio vilitawala juzi katika zoezi la kuuaga mwili wa marehemu Albert Mangweha ‘Ngwea’ kwenye Viwanja vya Leaders lakini mmoja wa waliotia fora katika kuangua kilio alikuwa dada mmoja mzungu anayedaiwa kuwa alikuwa demu wa Ngwea aitwaye Misheily.
Aidha, kilio alichokuwa akiporomosha binti huyo kiliwafanya watu waliokuwa karibu naye kumsikitikia na kuzidishiwa majonzi kwani ilifika wakati akaishiwa nguvu.
Paparazi wetu alijaribu kumfuata na kumuomba kuzungumzia juu ya kifo cha Ngwea lakini alikataa na kusema asingeweza kufanya hivyo kufuatia majonzi aliyokuwanayo huku akionekana kutoamini kama jamaa yake huyo ametutoka .
CHANZO : GPL
Thursday, June 6, 2013
ANGALIA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA MOROGORO MAZISHI YA MANGWEA
Jeneza lenye mwili wa Albert Mangweha likishushwa kaburini.
M2 THE P
amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye
alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya chumba kimoja
kabla ya mauti kumkuta Ngwea.: http://audifacejackson.blogspot.com
Rafiki
wa karibu wa marehemu Albert Mangweha, Mgaza Pembe 'M 2 The P'
akiumuaga swahiba wake katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro.
PICHA YANAYOJIRI MOROGORO:WANANCHI WAKITOA HESHIMA ZA MWISHO KW MAGWEA
Mama Mzazi wa Mangweha, Denisia Mangweha akiwa nyumbani kwake kabla ya safari kuelekea Uwanja wa Jamhuri.
Mkuu
wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera asubuhi hii amefika nyumbani kwa Mama
Mangwea eneo la Kihonda Mazimbu Road na kumpa pole kwa niaba ya wakazi
wote wa mkoa wa Morogoro. Baada ya kutoa pole, Mhe. Bendera aliongoza
umati wa watu kutoka Kihonda kuelekea Uwanja wa Jamhuri kwa shughuli za
kuaga mwili wa Albert Mangwea aliyefariki dunia Mei 28 mwaka huu nchini
Afrika Kusini. Mangwea anatarajiwa kuzikwa katika makaburi ya Kihonda
nje ya Kanisa la Mtakatifu Monica jirani kabisa na alipozikwa baba yake
mzazi Mzee Keneth Mangwea.

ANGALIA PICHA ZA M2 THE P AKIMUAGA RAFIKI YAKE ALBERT MANGWEA MJINI MOROGORO
M2 THE P
amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi
ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya
chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea..Mwanzoni, M 2 THE P
alikuwa amefichwa na kudanganywa kuwa Ngwea alikuwa ametangulia
Tanzania. Baadaye Maggie alilazimika kumweleza ukweli .http://audifacejackson.blogspot.com.....

Wednesday, June 5, 2013
HIVI NDIVYO WAKAZI WA MOROGORO WALIVYOUPOKEA MWILI WA ALBERT MANGWEA KWA MASIKITIKO MAKUBWA.
Msafara
wa kupokea mwili wa msanii marehemu Albert Mangwea ukiwa unaingia
morogoro hapa ni eneo la nane nane,Umati mkubwa umejitokeza katika
mapokezi hayo jioni ya leo

s
Tuesday, June 4, 2013
PHOTOS:MWILI WA MAGWEAR UKIPOKELEWA AIRPORT


Monday, June 3, 2013
UPDATE: HATIMAYE WANTANZANIA WAISHIO AFRIKA KUSINI WAUAGA MWILI WA ALBERT MANGWEA.

Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya
kuuaga mwili wa Albert Ngwea kuelekea katika safari ya
mwisho wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge
Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini Afrika kusini...
Mwili wa marehemu utaletwa Tanzania kesho saa nane.....
Wednesday, May 29, 2013
HISTORIA YA MAREHEMU NGWAIR ALIYOISEMA MWENYEWE KWENYE INTERVIEW YAKE YA MWISHO;.
JINA
LAKE HALISI NI ALBERT KENETH MANGWAIR,NI MTU WA RUVUMA
MNGONI...,,,,MNGONI,LAKINI ALIZALIWA MBEYA TAREHE 16 NOVEMBER,MWAKA
1982.YEYE NI MTOTO WA MWISHO KWAO,KWA BABA AKIWA MTOTO WA 10,KWA MAMA
AKIWA MTOTO WA 6.
NGWAIR ASILI YAKE NI RUVUMA,YAANI MNGONI,
ALIZALIWA MBEYA,A KIWA MIAKA 5 WALIHAMIA MOROGORO AKASOMA SHULE YA
MSINGI BUNGO HADI DARASA LA 5,BABA YAKE AKAPATA UHAMISHO AKAHAMIA
DODOMA,SO AKAHAMA NA BABA YAKE AKAENDA AKAMALIZA SHULE YA MSINGI MLIMWA
DODOMA.BAAADAE MAZENGO SEC,THEN CHUO CHA UFUNDI MAZENGO.
Subscribe to:
Posts (Atom)











