Monday, June 3, 2013

UPDATE: HATIMAYE WANTANZANIA WAISHIO AFRIKA KUSINI WAUAGA MWILI WA ALBERT MANGWEA.


Watanzania waishio nchini South Africa wamepata nafasi ya kuuaga mwili wa Albert Ngwea kuelekea katika safari ya mwisho wakiongozwa na Msanii Bushoke na Mtoto wa Mhe. Kingunge Ngombale mwiru, Kinjeketile wanaosimamia mipango ya kuaga mwili nchini Afrika kusini...

Mwili  wa  marehemu  utaletwa Tanzania  kesho  saa  nane.....

No comments:

Post a Comment