Thursday, June 6, 2013

ANGALIA PICHA ZA MATUKIO MBALIMBALI KUTOKA MOROGORO MAZISHI YA MANGWEA

Jeneza lenye mwili wa Albert Mangweha likishushwa kaburini.
M2 THE P amefanikiwa kutoa salamu zake za mwisho kwa rafiki yake kipenzi ambaye alikuwa naye huko Afrika kusini tena walikuwa ndani ya chumba kimoja kabla ya mauti kumkuta Ngwea.: http://audifacejackson.blogspot.com
Rafiki wa karibu wa marehemu Albert Mangweha, Mgaza Pembe 'M 2 The P' akiumuaga swahiba wake katika Uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro. 

No comments:

Post a Comment