Wednesday, June 5, 2013

HIVI NDIVYO WAKAZI WA MOROGORO WALIVYOUPOKEA MWILI WA ALBERT MANGWEA KWA MASIKITIKO MAKUBWA.

Msafara wa kupokea mwili wa msanii  marehemu Albert Mangwea ukiwa unaingia morogoro hapa ni eneo la nane nane,Umati mkubwa umejitokeza katika mapokezi hayo jioni ya leo

 
 
 
s

No comments:

Post a Comment