Wednesday, June 5, 2013

Picha za mrembo wa Kitanzania aliyenaswa na “unga” Misri, na video ya kukamatwa kwake

 
Hizi picha ni za msichana anayetajwa kuwa ni Fatma aka Brown Berry wa Ilala Dar es Salaam ambae amekamatwa akisafirisha madawa ya kulevya au “unga” nchini Misri. Pia chini kuna video inayoonyesha maafisa wa Egypt wakionyesha jinsi unga huo ulivyofichwa ndani ya begi kabla ya kubambwa
Mrembo Fatma aka Brown Berry katika pose
 Mrembo Fatma aka Brown Berry katika pose
mtanzania-egypt-misri-kunyongwa-2
Fatma akiwa na inayesemekana kuwa ni mwanae
 Fatma akiwa na inayesemekana kuwa ni mwanae
Fatma aka Brown Berry akiwa na mpenzi wake
       Fatma aka Brown Berry akiwa na mpenzi wake

Hapa chini ni video inayoonyesha kukamatwa kwake na unga huo   

No comments:

Post a Comment